Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Cheap ina side effects zakeHii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Hivo hivo mkuu, dau anakuonyesha kwa ishara mnaelewana.Bubu anajiuza? How?
Kuna Sewa pia.Alafu pembeni ni kimboka
Malaya wa Buguruni hawahitaji maongezi. Wewe muonyeshe buku atakushika mkono na kukuelekeza chocho mkamalizane.Bubu anajiuza? How?
Vyumba vipo vya kuanzia 25, 30 40 50 na kuendelea! Inategemea na bajeti yako, haviingii maji hata kidogo, mabondeni Kule kuna mpaka vyumba vya 10,000/=
cha muhimu kujua ni supu hiyo ni ya nini, na ni supu kweli au kitu kingine. nyama hiyo imetoka bushani au ndio yale mavibudu yanakufa peke yake wakaona wasiyatupe, au ni yale mabaki ya nyama kule machinjioni, au ni.........
🤔Cheap ina side effects zake
Mwananyamala na muhimbili wamejaa watu wa buguruni na matatizo ya matumbo,be careful
Tukuambie ukweli au tukuache kwanza, bikira kimboka??😀😀😀Zamani nimekula under 18 hapo alikuwa bikra kabisa aisee!
Tumelipa sana bili za pc za ifm hapo 😂😂Ni shilling 3000/= nilikosea dígit, nimeshaedit.
Wao na holiday inn, sisi chimbo letu tukaliita holiday out, wamefanya fitina na kuhonga pesa Jiji mpaka yule mama akafukuzwa pale.
Ninachojiuliza ni kwamba hio nyama ni nyama kweli au expired. Mnalishwa vitu vya hovyo sanaHii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Legend, kula badgeMy first sex ilikua Kimboka.
TukukaNawe ulikuwa miongoni mwa wateja pale
wananunua wapi hizo nyama sasa?Hakuna mama muuza supu mtaani anayenunuwa buchani, bucha ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani au wachoma mishikaki.
Kule machinjioni kuna serikali na kuna madaktari wa mifugo, msidanganyane mkadhani hii serikali imefeli kila eneo.
Jipe nafasi siku tembelea machinjio usiku au afajiri utajionea mengi usiyoyajuwa na utaanza kupuuza uzushi unaousikia.
unasema bubu, kuna siku tuliharibikiwa gari pale sheli usiku kama wa saa 8. Tulielekezwa fundi yupo pale hoteli iliyoambatana na Kimboka. Tulikutana na kiwete wa kusota kabisa na yeye anauza mbwasha. Advertise yake anatingisha kiuno huku kasimamia mikono.
Nasikia ana wateja wa kutosha kabisa wa kupanga foleni. Kimboka ile ni fantasy land, hakuna utakachokosa pale.
Hehehe.hatari sana hii ...unasema bubu, kuna siku tuliharibikiwa gari pale sheli usiku kama wa saa 8. Tulielekezwa fundi yupo pale hoteli iliyoambatana na Kimboka. Tulikutana na kiwete wa kusota kabisa na yeye anauza mbwasha. Advertise yake anatingisha kiuno huku kasimamia mikono.
Nasikia ana wateja wa kutosha kabisa wa kupanga foleni. Kimboka ile ni fantasy land, hakuna utakachokosa pale.
Kitu Gani hicho mkuu!? Share na watazamamaji,wasomaji naAisee umenikumbusha kitu ambacho kamwe mpaka nakufa nisingekikumbuka
Kaa huko huko mazee, usijetuchafulia hali ya hewa huku Masaki!Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368