Machimbo Karibia yote ya hapa buguruni nayajua, ila sijawahi kwenda kununua, na kama ikitokea nahitaji hao malaya nitaenda kwa dada zangu wahaya huku Kwenye vyumba vyao maana nimepanga karibu na vyumba vyao, siwezi kununua wale wa kusimama barabaraniππ€£ππ€£ sawa fundi K
inawekana hata kondom ushawah kuvaa mlegezo wewe
wahaya wawap maana machimbo ni mengiMachimbo Karibia yote ya hapa buguruni nayajua, ila sijawahi kwenda kununua, na kama ikitokea nahitaji hao malaya nitaenda kwa dada zangu wahaya huku Kwenye vyumba vyao maana nimepanga karibu na vyumba vyao, siwezi kununua wale wa kusimama barabarani
Unalishwa supu za ng'ombe zilizofia mnadaniππHii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Ukishiba unaenda jilipuaAlafu pembeni ni kimboka
kama wengine tuuUkishiba unaenda jilipua
Profesa Janabi; njoo hapa Buguruni haraka sana uone watu wako wanavyokachia nyama za mafuta (saturated fat).Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
2024 unaogopa nyama usiyojua ni ya mnyama mzima au mfu,kwani ulishsikia mtu kafa kisa kala nyama ya ng'ombe mfu??Mkuu,
Kuwa makini na supu za buguruni,pamoja na nyama ya mbuzi ambayo huoni kichwa wala mkia wa mbuzi.
Ile unauliza nyama Gani unajibiwa tu ,hii ni nyama ya mbuzi!! Utakula nyama zisizoeleweka kutoka vingunguti hapo.
Ng'ombe washajifia hawaachwi Bure Bure.
Naona konokono wa App keshapata avatarπjuzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchiππ
mbona muuza miwa wa buguruni ana avatar wake na sisi tukakausha tuNaona konokono wa App keshapata avatarπ
Kula wewe, umewahi kukuta ng'ombe amefia ndani ya bakuli la supu! Kula wewe hiyo ni nyama.Unalishwa supu za ng'ombe zilizofia mnadaniππ
Mbona Chadema wanasemaje maisha ni magumu wako kuandamana huko? Au hizi supu za jero hawajaziona?Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Alafu pembeni ni kimboka
hao sio chadema wa buguruniMbona Chadema wanasemaje maisha ni magumu wako kuandamana huko? Au hizi supu za jero hawajaziona?
Pigia Mstari Ulaya Mashariki aka former Communists aka poorest nations in EuropeHivyo vindama ambavyo havijazaliwa ng'ombe akichinjwa vinaliwa sana na mataifa ya ulaya mashariki wao huita delicatessen. Utaipenda wanavyo itengeneza. Hakitupwi kitu. You just eat from skin to bones.