Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£ sawa fundi K
inawekana hata kondom ushawah kuvaa mlegezo wewe
Machimbo Karibia yote ya hapa buguruni nayajua, ila sijawahi kwenda kununua, na kama ikitokea nahitaji hao malaya nitaenda kwa dada zangu wahaya huku Kwenye vyumba vyao maana nimepanga karibu na vyumba vyao, siwezi kununua wale wa kusimama barabarani
 
Unalishwa supu za ng'ombe zilizofia mnadaniπŸ˜πŸ˜‚
 
Profesa Janabi; njoo hapa Buguruni haraka sana uone watu wako wanavyokachia nyama za mafuta (saturated fat).
 
2024 unaogopa nyama usiyojua ni ya mnyama mzima au mfu,kwani ulishsikia mtu kafa kisa kala nyama ya ng'ombe mfu??

Siku niliyojua hata hapa bongo kuna watu wanakula chatu na kobe,nikagundua kumbe maisha ni mtazamo tu.
 
Mbona Chadema wanasemaje maisha ni magumu wako kuandamana huko? Au hizi supu za jero hawajaziona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…