Bukavu: M23 yakaribia uwanja wa ndege wa Kavumu

Bukavu: M23 yakaribia uwanja wa ndege wa Kavumu

Baada ya Goma kuangukia mikononi mwa M23, mtutu wa bunduki ulielekezwa Kivu kusini, huku mji mkuu ukiwa Bukavu.

Serikali ya Burundi kwa makubaliano na DRC, ilipeleka wanajeshi wapatao elfu 10 kuhakikisha Bukavu inalindwa kwa nguvu yote.

Uwanja wa Kavumu, unatumiwa na serikali ya Burundi na DRC kuleta siraha toka Kinshasa na Bujumbula.

Baada ya wanajeshi hao kushindwa kuwazuia wakiwa Kalehe, vita vinaendelea eneo la Katana, ambalo lipo umbali wa km 11 tu kutoka uwanja wa ndege huo wa Kavumu.

Kukamatwa kwa uwanja huo, kutaondoa uwezekano wa serikali ya Burundi na kinshasa kuongeza nguvu. Hapo juzi, jeshi la Congo lilivamia wafanyabiashara na kupora mali zao, benki zimeibiwa.


View: https://x.com/kabagambei/status/1888701569870319802?s=46
Video, ni wanaouwawa Kivu kusini,kisa kuwa watutsi.

Baada ya wanajeshi hao kushindwa kuwazuia wakiwa Kalehe, vita vinaendelea eneo la Katana, ambalo lipo umbali wa km 11 tu kutoka uwanja wa ndege huo wa Kavumu.
 
Baada ya Goma kuangukia mikononi mwa M23, mtutu wa bunduki ulielekezwa Kivu kusini, huku mji mkuu ukiwa Bukavu.

Serikali ya Burundi kwa makubaliano na DRC, ilipeleka wanajeshi wapatao elfu 10 kuhakikisha Bukavu inalindwa kwa nguvu yote.

Uwanja wa Kavumu, unatumiwa na serikali ya Burundi na DRC kuleta siraha toka Kinshasa na Bujumbula.

Baada ya wanajeshi hao kushindwa kuwazuia wakiwa Kalehe, vita vinaendelea eneo la Katana, ambalo lipo umbali wa km 11 tu kutoka uwanja wa ndege huo wa Kavumu.

Kukamatwa kwa uwanja huo, kutaondoa uwezekano wa serikali ya Burundi na kinshasa kuongeza nguvu. Hapo juzi, jeshi la Congo lilivamia wafanyabiashara na kupora mali zao, benki zimeibiwa.


View: https://x.com/kabagambei/status/1888701569870319802?s=46
Video, ni wanaouwawa Kivu kusini,kisa kuwa watutsi.

mbona hapo maneno ni mengi mara m23 wanakaribia uwanja wandege mara tuambiwe m23 wamerudi nyumba sasa Ukweli ni upi?
 
Wangekua wanapinduliwa kila siku Kama ni dhaifu kiasi hicho
Ukiangalia historia ya congo utaona kuna kitu hakipo sawa, belgium walimuua secretary general wa united nations alivyokuwa anatua congo
Lumumba alipinduliwa
Mabutu naye akampindua aliyempindua lumumba
Kabila snr kwa msaada wa rwanda na uganda wakamfurusha mabutu akakimbia morocco
Kabila snr akauliwa na mlinzi wake
Hapo utaona hawajewekeza kwenye usalama , ulinzi na intelligence pamoja utajiri wote ule hawajapata kiongozi mwenye akili
 
Ukiangalia historia ya congo utaona kuna kitu hakipo sawa, belgium walimuua secretary general wa united nations alivyokuwa anatua congo
Lumumba alipinduliwa
Mabutu naye akampindua aliyempindua lumumba
Kabila snr kwa msaada wa rwanda na uganda wakamfurusha mabutu akakimbia morocco
Kabila snr akauliwa na mlinzi wake
Hapo utaona hawajewekeza kwenye usalama , ulinzi na intelligence pamoja utajiri wote ule hawajapata kiongozi mwenye akili
Hizi ni Inside job,za wakubwa katika kuhakikisha Hali inakua hv kila siku
 
Kwa namna nilivyojua chanzo Cha mgogoro ni kubaguliwa Kwa banyamulenge ambao walitenganishwa na mipaka tu ya kikoloni na hitimisha Kwa kuwatakia M23 ushindi mnono ili kuuondoa huo ubaguzi wa kijinga wa watawala wa DRC.yaano ni sawa na sisi tuseme wamasai siyo watanzania Kwa sababu Kuna wamasai wanaoishi Kenya.

Hukui kabisa siasa za maziwa makuu.

Kasome upyaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom