MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
- Thread starter
- #101
Lakini uwepo wao hauleti sababu ya nyie kuwabagua na kuwanyanyasa kisa watutsi!Wapo wengi sana huku mipakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini uwepo wao hauleti sababu ya nyie kuwabagua na kuwanyanyasa kisa watutsi!Wapo wengi sana huku mipakani
Umesahau kutaja dhambi ya kuiba kura waliotenda Tshesikedi, kwani haukuwa mshindi, kwahiyo walioshinda wamehamua kutumia njia ya bunduki ili haki itendeke.Tshiseked nikweli kafail ila uwezo wa yeye kuunda jeshi imara ilkuwa ngumu. Hii nkwasababu kuna watu ndani ya serikali yake na majiran zake wanakesha kuhakikisha DRC inakuwa dhaifu hasa kijeshi na kiuchumi.
Kwa mfano huyo Colonel Nangaa unadhan ameibuka ghafla au alkuwa kwenye plan ya mda mrefu na kinachoendelea saiv?
Ukiwa katika utulivu wa akili kumlaum Tshiseked sio rahisi. Ni bora akimbie nchi kuliko kukaa meza moja na m23,congo wajifunze kuwa na msimamo hata wakiipoteza kinshasa leo, siku watakapo amka waamke katika falsafa ya msimamo kwakuwa watakuwa wamesha take risk.
Nguvu aliyonayo Prezda Kagame ni msimamo na ni risk taker, wala siyo usahih wa anachokifanya. Ndo maana hata hapa kwetu tz Prezda Magu alikubalika kwa misimamo ila kuna mambo mengi aliamua vibaya.
Kwa wanaodhan ni vzuri kuwe na mazungumzo kati ya m23 na DRC wachukue hiyo picha wakamshauri Prezda PK akaunde serikali moja na FDLR waone watakacho jibiwa, na kiukweli sio salama hata kidogo.
Kiufup congo wakubali kupigana mpaka tone la mwisho ila wasikubali kwa hiari kukaa meza moja na waasi itakuwa yaleyale ya watanguliz wao.
Kwasasa wakubali tuu kwamb ubinafsi, usaliti, ukabila(ukanda), upofu na uchu wa madaraka wa watangulizi wao umewatesa vya kutosha.
Alikuwa sio mshindi wa uchaguzi ndio maana congo imekuwa ivyo.Waende mpaka kinshasa.huyo jamaa mashavu kama mimba ya panya . Congo imekosa uongozi watawaliwe tu hakuna namna
Tshesiked alikuwa mshindi wa 3 hiyo dhambi ndio inamtafuna kwa sasa.Rwanda itaonekana kusaidia kupindua serikali halali iliyochaguliwa kidemokrasia kitu ambacho sio kizuri hata kidogo.
Burundi ni sawa sababu chokochoko zilishaanza, mpaka sasa hawasalimiani.Tatizo watutsi wanapenda sana vita wakimalizana na Congo wataingia Burundi zeni Tanzania tukae mkao wa kula
Inawezekana ikawa sababu, lakin kwa East Africa suala kura na ushind halali kama vingekuwa sababu ya watu kuingia forest bhasi kote kungekuwa fire.Umesahau kutaja dhambi ya kuiba kura waliotenda Tshesikedi, kwani haukuwa mshindi, kwahiyo walioshinda wamehamua kutumia njia ya bunduki ili haki itendeke.
Ulishawahi kwenda nchi yoyote auLakini uwepo wao hauleti sababu ya nyie kuwabagua na kuwanyanyasa kisa watutsi!
wale wazungu ni team M23 walifanya lile igizo kututia uoga tuKwa akili yako ulidhani Burundi inauwezo wowote wa kupambana na vijana wanaoisambaratisha DRC pamoja na mercenaries wa Kizungu? Kama askari wa Sauzi, Bongo pamoja na Malawi walikamatwa kama kuku wenye mdondo ndiyo ije kuwa Warundi njaa kali.
Habari zilizopo kwa sasa, ni kwamba baada ya wanajeshi wa Burundi na FARDC kukimbia uwanja wa ndege na kukimbilia mjini Bukavu, yawezekana M23 tayari ilikuwa mjini ikiwachora tu. Tofauti na Goma, M23 imewatangazia maeneo ya wazi wanaohitaji kutoka mjini humo, na kweli wanajeshi wa serikali wakachukua magari na kusepa. Baada ya muda, ndipo jeshi la M23 likaonekana likikalibishwa kwa shangwe na raia.
Haya
Baada ya rais wa DRC kuapa hatokaa kuzungumza na M23, wanamkumbusha kuwa safari yao itaishia Kinshasa.
Kwa kasi hii, huko maporini na kwenyewe kutaachwa silaha kama za Kivu kaskazini na kusini? maana M23 inazoa kama hazina mwenyewe
Usafiri sasa, ndo usiseme.Kila aina ya gari,lipo. Wakisamehe, Kivu inajitenga.Wakisonga,basi uwezekano wa mzee Felix kubaki huko huko ulaya ni mkubwa.
View attachment 3236597
View: https://x.com/i/status/1890440659594535334
View: https://x.com/i/status/1890446842187641041
hata ccmu inashangiliwa mbali na kuteka , kufunga na kuua watu , mtu mweusi hajui anataka nn kikubwa yupo haiKuna video niliwahi kuiona wananchi wanawashangilia m23 hiyo imekaaje?
nan alishinda na kashika bunduki katika jina ganUmesahau kutaja dhambi ya kuiba kura waliotenda Tshesikedi, kwani haukuwa mshindi, kwahiyo walioshinda wamehamua kutumia njia ya bunduki ili haki itendeke.
Bongo walikamatwa wapi na kwanini??Kwa akili yako ulidhani Burundi inauwezo wowote wa kupambana na vijana wanaoisambaratisha DRC pamoja na mercenaries wa Kizungu? Kama askari wa Sauzi, Bongo pamoja na Malawi walikamatwa kama kuku wenye mdondo ndiyo ije kuwa Warundi njaa kali.
Mkuu,walioenda huko kwa mission ya SAMIDRC,wako wapi?Bongo walikamatwa wapi na kwanini??
Sasa hivi kuna uongozi legevu waulize hao M 23 jina la Kikwete na B.Membe watakwambia ni akina naniMkuu,walioenda huko kwa mission ya SAMIDRC,wako wapi?
Umejibu swali kwanza? Rais aliyepo kwa sasa unamzidi akili? Uongozi huo ambao haukuwa legevu, unajihusisha vipi na maswala ya nchi nyingine?Sasa hivi kuna uongozi legevu waulize hao M 23 jina la Kikwete na B.Membe watakwambia ni akina nani