Bukoba: Mwalimu atakiwa kurejesha Mshahara aliolipwa kwa kufanya Udanganyifu kwa Mwajiri

Bukoba: Mwalimu atakiwa kurejesha Mshahara aliolipwa kwa kufanya Udanganyifu kwa Mwajiri

Alimaliza digriiiiiii, akapata gepu la ada ndipo akaunganisha mastaz. Akaomba ruhusa Kwa kudanganya.

Itakuwa mmoja kati ya Hawa waliomba kupiga mti akawachomoa ndipo wakakinukisha DED , Deo, hr. Dso na dao
Umewaza kama mimi kwasababu hivi vitu vingeweza kuishia hukohuko tu
 
Yaani hata digrii ya kwanza hakuwa nayo anaonyesha kufoji halafu kaomba ruksa akasome digrii ya Pili kumbe anaenda kulala nyumbani

Aweza kuwa form four failure huyo.sawa.ba wale waliofoji wakalipwa na serikali eti walitumikia taifa na kufoji mivyeti kwao

Serikali ikaamua kuwalipa
Umeelewa hayo maelezo?
 
Yaani hata digrii ya kwanza hakuwa nayo anaonyesha kufoji halafu kaomba ruksa akasome digrii ya Pili kumbe anaenda kulala nyumbani

Aweza kuwa form four failure huyo.sawa.ba wale waliofoji wakalipwa na serikali eti walitumikia taifa na kufoji mivyeti kwao

Serikali ikaamua kuwalipa
Mkuu umeelewa kweli kilichoandikwa?
 
Dah hii mbona wengi sanaa tunafanya na tumefanya.
Unasoma degree ukimaliza, unarudi kazini na kuandika barua kuwa "Ulifeli mwaka wa tatu chuo, hivyo unaomba mwaka mmoja ukamalizie"
Halafu unarudi chuo kusoma mwaka wa kwanza wa masters.
Ule wa pili (research) unaenda kufanyia kazini.

Hili ni jambo la kawaida sanaa serikalini.

Huyu Kuna nyuma ya pazia zaidi ya hilo la ruhusa..!!!

#YNWA
 
Dah hii mbona wengi sanaa tunafanya.
Unasoma degree ukimaliza, unarudi kazini na kiandika barua kuwa "Ulifeli mwaka wa tatu chuo, hivyo unaomba mwaka mmoja ukamalizie"
Halafu unarudi chuo kusoma mwaka wa kwanza wa masters.
Ule wa pili (research) unaenda kufanyia kazini.

Hili ni jambo la kawaida sanaa serikalini.

Huyu Kuna nyuma ya pazia zaidi ya hilo la ruhusa..!!!

#YNWA
Aliunguzwa
 
Novemba 22, 2023 katika Mahakama ya Bukoba imeamriwa kesi ya Jamhuri dhidi LYDIA KOKUSHOBOKA KAOO, ambaye ni alikuwa mwalimu wa Shule ya Msingi Kashai- Manispaa ya Bukoba.

Imemtia hatiani kwa makosa mawili la kwanza matumizi ya nyaraka kumdanganya mwajiri kwa kuandika barua kwa mwajiri kujifanya hajamaliza masomo ya shahada ya kwanza ndani ya muda aliopewa na mwajiri wake ili aweze kuendelea na shahada ya pili.

Kosa la pili ni kuisababishia Serikali hasara kwa kuendelea kulipwa mishahara kwa kipindi cha udanganyifu asichokuwepo kazini.

Mshtakiwa ametiwa hatiani na kupewa adhabu ya kifungo cha miaka 3 or fine ya 1 milioni kwa kosa la kwanza. Na kifungo cha miaka 3 bila fine kwa kosa la pili.

Pia imeamuliwa jumla ya sh. 22,252,134.73/= iliyopokelewa kama mishahara azirudishe kwa mwajiri wake.
Nchi bado ina uhitaji wa walimu. Kama ni kulipa deni, alilipe akiwa anatumikia wajibu wake kwa kukatwa malipo yake ya sasa. Kumuweka mwalinu gerezani inamsaidia nani?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Yaani hata digrii ya kwanza hakuwa nayo anaonyesha kufoji halafu kaomba ruksa akasome digrii ya Pili kumbe anaenda kulala nyumbani

Aweza kuwa form four failure huyo.sawa.ba wale waliofoji wakalipwa na serikali eti walitumikia taifa na kufoji mivyeti kwao

Serikali ikaamua kuwalipa
Hujaelewa bro! Huyo amedangsnya kuwa "degree ya kwanza bado! " Ili apewe ruhusa amalizie degree yake,kumbe kwa wakati huo, ye ye degree ya kwanza ameishamaliza, anapiga ya pili! Ila mwajili kaambiwa degree ya kwanza ndio inatafutwa!
Huyo ndio nshomile(nimesoma) Muhaya hatski mchezo kwenye elimu,Mwalimu wa msingi! Anatafuta masters! Wa haya Noma! Ingekuwa ndugu zangu wa pwani, angedangsnya apate pesa,akanunue dela, au kufuga kuku!
 
Novemba 22, 2023 katika Mahakama ya Bukoba imeamriwa kesi ya Jamhuri dhidi LYDIA KOKUSHOBOKA KAOO, ambaye ni alikuwa mwalimu wa Shule ya Msingi Kashai- Manispaa ya Bukoba.

Imemtia hatiani kwa makosa mawili la kwanza matumizi ya nyaraka kumdanganya mwajiri kwa kuandika barua kwa mwajiri kujifanya hajamaliza masomo ya shahada ya kwanza ndani ya muda aliopewa na mwajiri wake ili aweze kuendelea na shahada ya pili.

Kosa la pili ni kuisababishia Serikali hasara kwa kuendelea kulipwa mishahara kwa kipindi cha udanganyifu asichokuwepo kazini.

Mshtakiwa ametiwa hatiani na kupewa adhabu ya kifungo cha miaka 3 or fine ya 1 milioni kwa kosa la kwanza. Na kifungo cha miaka 3 bila fine kwa kosa la pili.

Pia imeamuliwa jumla ya sh. 22,252,134.73/= iliyopokelewa kama mishahara azirudishe kwa mwajiri wake.
Tatizo la akina Nshomile ujuaji mwingi na Misifa kibao.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Maelezo yanaonesha, alikuwa na ruhusa ya kusoma shahada.

Lakini alipomaliza shahada, akaandika kwa mwajiri kuwa hajamaliza hiyo shahada yake kwahiyo anahitaji muda zaidi (ili atumie huo muda kusoma, Masters).

Sasa inavyoonekana Kuna elements zenye Chuki, roho mbaya na kuchomeana zimehusika hapa.
Hahaha watanzania tunashida sana, Umeandika vizuri kuonyesha umeelewa udanganyifu alioufanya. Sasa hizo chuki,roho mbaya na kuchomeana zimetoka wapi?

Rudi mwanzo, Je alidanganya ama Hakudanganya. Kam alidanganya muajiri anakosa gani hapo? Au mahakama inakosa gani kutoa hukumu? Muajiri anajukumu la kufuatilia watumishi wake wakiwa masomoni, kama mtumishi amepewa ruhusa ya miaka mitatu kwenda masomoni. Miaka mitatu imeisha unadhani ni nani mwenye jukumu la kufuatilia kama mtumishi kamaliza au hajamaliza masomo? Muajiri anatakiwa apewe report, awe ka fail na anarudia mwaka, au ana suppliment, still muajiri anapaswa kupewa report hiyo. Ikiwa muajiri hato pata hiyo taarifa kwa maandishi, ni wajibu wa muajiri kuwasiliana na chuo anachosoma mwajiriwa na apewe taarifa ya nini ni nini au kipi na inawekwa kwenye personnel record za mwajiriwa/mtumishi.

Hili lazima lifanyike kwasababu huyo mwajiriwa/mtumishi analipwa mshahara, na unaweza kuta na ada ananlipiwa kulingana na mkataba waliokuwa nao. Na kama muajiri hafuatilii watumishi wake huyo muajiri ni mwendawazimu.
Sio kila kitu mnachomewa, au kufitiniwa kuna vitu viko straight foward, hakuna mchawi.

Mwajiri kafuatilia kapata report yeye kaandika barua ya kudanganya. Muajiri akamshitaki, yeye mtumishi alipaswa aombe msamaha hatua za awali za kesi, na amuombe radhi muajiri wake kwa kueleza ukweli ngesamehewa. lakini kakubali kuumeza ukweli na kwenda na ukweli mahakamani kesi/shauri limeendeshwa mpaka hukumu imetolewa, wewe unasema kachomewa.

Mahakama zikitenda haki hamtaki, zisipotenda haki hamtaki, hata hamueleweki.
 
Sasa angegawa kwa hao wote?.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Waliokwisha pita si idadi inazidi?
Kwanza,ana mali isiyohamishika. Hiyo ni dhamana tosha. Teh teh teh. Hizo milioni, si kazi hana? Aseme atarudisha 1000 kila mwezi. Full stop. Hakuna mahakama ya kuamuru mtu alipe kiasi fulani cha pesa.
Kwanza na hapo kama atakuwa anatumikia kifungu watajua wenyewe. Askali magereza ndo wanaenda kujilia tunda kimasihara.

Wakati mwingine janja janja huisha vibaya btw.
 
Back
Top Bottom