Ester505
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 793
- 1,049
K
WeliJifunze kusoma vizuri mkuu. Huyu mtumishi aliomba ruhusa akasome shahada ya kwanza,,baada ya kumaliza hyo shahada ya kwanza alitamani aendelee na shahada ya pili lakini ruhusa akawa hana maana ruhusa ambayo alipewa ni ya kusoma shahada ya kwanza ilikuwa imeisha.
Hivyo akalazimika kufanya udanganyifu wa kumuandikia muajiri wake barua kuwa hajamaliza shahada ya kwanza kwa sababu kadhaa(alifoji sababu) hivyo anaomba apewe ruhusa aweze kumalizia..malengo yake ni kwamba hyo ruhusa angepewa angeenda kusoma Shahada ya pili.
Umeelewa?
Walimu wengi midomo Yao iko wazi Sana,hawana Siri na hawajui kukàa kimya.mafriji Yao hayagandishiNovemba 22, 2023 katika Mahakama ya Bukoba imeamriwa kesi ya Jamhuri dhidi LYDIA KOKUSHOBOKA KAOO, ambaye ni alikuwa mwalimu wa Shule ya Msingi Kashai- Manispaa ya Bukoba.
Imemtia hatiani kwa makosa mawili la kwanza matumizi ya nyaraka kumdanganya mwajiri kwa kuandika barua kwa mwajiri kujifanya hajamaliza masomo ya shahada ya kwanza ndani ya muda aliopewa na mwajiri wake ili aweze kuendelea na shahada ya pili.
Kosa la pili ni kuisababishia Serikali hasara kwa kuendelea kulipwa mishahara kwa kipindi cha udanganyifu asichokuwepo kazini.
Mshtakiwa ametiwa hatiani na kupewa adhabu ya kifungo cha miaka 3 or fine ya 1 milioni kwa kosa la kwanza. Na kifungo cha miaka 3 bila fine kwa kosa la pili.
Pia imeamuliwa jumla ya sh. 22,252,134.73/= iliyopokelewa kama mishahara azirudishe kwa mwajiri wake.