Bukoba: Mwalimu atakiwa kurejesha Mshahara aliolipwa kwa kufanya Udanganyifu kwa Mwajiri

K
Weli
Walimu wengi midomo Yao iko wazi Sana,hawana Siri na hawajui kukàa kimya.mafriji Yao hayagandishi
 
Mbona ni kitu kidogo tu hicho,...?

Watanzania kwa chuki [emoji119][emoji119]
 
Miezi mingapi,!? Mbona ni pesa nyingi Sana .
Inawezekana kama analipwa Million moja kwa mwezi labda baada ya makato na alikaa miaka miwili bila kuonekana kituo cha kazi mkwanja lazima marundo yasome huko mbali hivyo 😂😂 maana hapo inaonekana na kufoji amefoji nyaraka !!

Daah kama alitumia hizo vizuri ambazo hakua kazini kwenye shughuli zake labda itamsaidia.
 
Hiyo adhabu ya pili ya kifungo cha miaka mitatu bila faini ndiyo ngumu.

Hao waalim wameminywa hata kwenda kusoma ruhusa unanyimwa. Angejiongeza hiyo master angesoma Open University ili awe anaenda kazini.

Sawa, sasa faini atailipa na nini na atakuwa hana ajira tena, maana amefungwa.

Wanasheria nguli watamtetea.
 
Kudanganya mwajiri wako ni jambo jema?

Maana unaposema roho mbaya unamaanisha angeendelea kudanganya?
 
Kudanganya mwajiri wako ni jambo jema?

Maana unaposema roho mbaya unamaanisha angeendelea kudanganya?
Hata kuruhusu mtumishi kujiendeleza kwa kadri anavyoweza bila kuweka vijikwazo kwaso vya kiboya ni jukumu la mwajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…