johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ahsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Kwa hiyo na mother ameshiriki au ameingizwa mkenge??
Mkuu WA Mkoa alishawahi kuripoti mtu Mzima Kumbe!!!.....Yupo college mate hospitali ya mkoa wa Kagera ambapo "majeruhi" wamepelekwa ngoja nimpigie nijilidhishe maana CCM sio wa kuwaamini kabisa!
Sijaelewa hii so not 43
Basi kama mnaruhusu errors kila mtu anaweza kuwa nabii...ntatabiri ajali ya meli ikaanguka ndege nitasema ilikuwa error ndogo tu.Nadhani walikujibu vizuri waliozungumzia errors zinazoweza kutokea wkt nafsi(akili) ya mtabiri inapotafsiri kitu cha kiroho.Changanya maelezo connect dots.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]hapo sasa....[emoji23][emoji23]Kwa hiyo na mother ameshiriki au ameingizwa mkenge?? View attachment 2408444
[emoji38] [emoji23] [emoji38] [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] precision imekuwa kipanya buguruni via Mandela road
Hayo mavx kwa Kweli wangeacha kuyanunua tu maana hayana faida kabisa katika nchi masikini kama hii !! Ndege inaanguka kwenye kina kifupi cha maji na tunashindwa kuokoa abiria wote waliokua kwenye ndege kwa sababu ya vifaa duni. !!Wako busy kununua ma vx mkuu hicho ndy kipaumbele cha maccm,wanakusanyika kwenye uzinduzi wa sensa wanalipwa ma pa DM yaliyonona wananchi wakipata shida kama hizi they don't care
Yaani Mzanaki niwe na Chembe ya Busara kwa Watani zangu wakubwa Wahaya? Tena nina Hasira nao kweli kweli kwani Mwezi uliopita tu katika Msiba wa Kaka yangu John huko Kibamba wametukamua Tsh 300,000/= za Utani na Ng'ombe tumewapa.Acha mzaha huu ni msiba kuwa basi na hata chembe ya busara
Bado tu unasema Ni ajali zoezi kwa hyo precision air wame sacrifice ndege yake ili kufanya mazoezi ziwa Victoria ukanda wa bukobaMkuu hii sio ajali, ni zoezi tu la kupima uwezo wa uokozi endapo ajali halisi itatokea. Inaitwa AJALI ZOEZI.
Endelea kuamini hvyo mjjnga wewPimbi, hii sio ajali, ni zoezi tu la kupima uwezo wa uokozi endapo ajali halisi itatokea. Inaitwa AJALI ZOEZI
Hatar sana !Just imagine imezama saa mbili ,halafu almost 87 percent ndani ya maji,how is possible mtu achomoke hapo,wamefunguaje ule mlango hao wavuvi,na wameanza kuokoa muda gani baada ya impact?TBC,ITV Na nyingine zote zipo kimya why?
Katika Maelezo yako nimeipenda zaidi hiyo Sentensi uliyosema tunashindwa Kuokoa Abiria kwani imeshanipa Jibu Kamili ya kile nilichokuwa nakitarajia.Hayo mavx kwa Kweli wangeacha kuyanunua tu maana hayana faida kabisa katika nchi masikini kama hii !! Ndege inaanguka kwenye kina kifupi cha maji na tunashindwa kuokoa abiria wote waliokua kwenye ndege kwa sababu ya vifaa duni. !!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo havichekeshi ila nisamehe kwa kucheka hapo kwenye salaAanh
Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries
Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano
Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi
Mitatu imeopolewa, ndo wanaanza rasmi kuwatoa au wameanza mda?
Alfu mijinga kweli nimetukana nao Sana watamdanganya Nani kuwa mindege ya 3rd world Ni majangaWahuni walisha anza Mara eti ajali zoezi , yani ajali zoezi na abira, alafu robo 3 ya ndege umefunikwa na maji ,Sijui wanafanyaga haya KWa faida ya nani
😁😁😁Anamalizia Kugawa Urithi kwa Mkewe na Wanawe tutamwona baadae akiwa Kapumzika Kimya Mkuu.
Chagua Hesabu sahihi hapaMwenye update yoyote so far......maana kila mtu anazungumza lake.....