Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Habari hii nilitarajia itataja idadi ya majeruhi pamoja na walioruhusiwa,hakuna
 
Hii Ajari Kuna watu mnataka kuitumia ili mjipatie umaarufu wa kijinga ,sijui mtabiri nk

Acheni hayo mambo hakuna hata binadamu mmoja mwenye huwezo wa kufahamu kuhusu Kesho Nini kitatokea Katika Maisha ya Binadamu.
Ni kubahatisha bahatisha tu !!
 
Ndege ya precision air imeaguka mita 100 kabla ya kuifikia barabara/runway ya uwanja wa ndege wa Bukoba
View attachment 2408442
Hapa chini ni Link ya video ya jiografia ya uwanja wa Bukoba... Instagram mcshonde
Ajali imetokea saa 2 asubuhi na taarifa zimesambaa tangu muda huo wewe unaleta "Breaking News" more than saa 6 tangu ajali itokee!!!!🤔🤔🤔
 
Msiwe kama waoga nje kuogopa kuchunguliwa
Subili serikali iseme k2
 
ina maana hata jeshi letu la wananchi hapo Bukoba halina Helicopter hata mbili au tatu na chap kwenda pale kufanya tandemn lifting na kuipull chap hiyo ndege kwenye kina kidogo nchi kavu?.

Hapo ziwani Bukoba kabisa hakuna tag boats za kuivuta hiyo ndege?.

Ina maana hapo Bukoha mjini hakuna sling au belts za zaidi ya 20tons zikaungwa kama wananchi walivyounga hiyo kamba na Bulldozer ikavuta ikiwa nchi kavu?.

Miaka yote hapo kiwanjani pamoja na kuwa karibu na ziwa hakuna rescue yenye watu mahiri na vifaa kuokoa ziwani?.

Naamini ndege ilivyokuwa mwenye maji ndani ya ndege hakukuwa na power supply, hivyo hakukuwa na hewa, zaidi ya 1hrs ndani ya maji mkiwa kwenye ndege bila hewa... MUNGU UWANUSURU NDUGU ZETU.
 
Sasa HV ndio CMG eti ndio wanaleta breaking news yao wakt jf inesharipot tukio hili muda mchache tu baada ya tukio kutokee

Kuna saa nilipost ndege ya precious ule mkia ukiwa unaonekana haujazama wote jamaa mmoja akanitext kuniuliza leo unaenda kupanda ndege nni Hapo Hapo nikatoka kufuta ile stutus nikasema nchi hi inawajinga wengi sanaa sijamjibu had sas nikamekausha
 
Kwahiyo Mitambo ya Simu za Mkononi huwa inashika hata kama Mitambo ya Umeme ya Ndege ikiwa imezama na Ndege iko Majini kwa 95% kama hivyo?

Kwa simu za mkononi mawasiliano yanakuwepo sababu ile ni wireless connection kati ya antenna iliyopo kwenye simu na antenna iliyo katika mnara wa mawasiliano wa simu (tigo, voda, airtel, halotel) ulio karibu...

Na hiyo ndege haijazama kina kirefu kiasi cha RF signal kuwa blocked au faded...
 
Chalamila hoi hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…