Unfortunately mpaka Muda huu zaidi ya watu kumi wamepoteza maisha hizi habari nimepewa na ndugu yangu yupo hapo Government hosptal Bukoba
Habari za mitandao ya kijamii ongezea na akili za kuzaliwaSo sad mbona tuliambiwa wote wametoka salama 😪
Halafu wanatumia billioni sita kutangaza matokeo ya sensa!!!ina maana hata jeshi letu la wananchi hapo Bukoba halina Helicopter hata mbili au tatu na chap kwenda pale kufanya tandemn lifting na kuipull chap hiyo ndege kwenye kina kidogo nchi kavu?.
Hapo ziwani Bukoba kabisa hakuna tag boats za kuivuta hiyo ndege?.
Ina maana hapo Bukoha mjini hakuna sling au belts za zaidi ya 20tons zikaungwa kama wananchi walivyounga hiyo kamba na Bulldozer ikavuta ikiwa nchi kavu?.
Miaka yote hapo kiwanjani pamoja na kuwa karibu na ziwa hakuna rescue yenye watu mahiri na vifaa kuokoa ziwani?.
Naamini ndege ilivyokuwa mwenye maji ndani ya ndege hakukuwa na power supply, hivyo hakukuwa na hewa, zaidi ya 1hrs ndani ya maji mkiwa kwenye ndege bila hewa... MUNGU UWANUSURU NDUGU ZETU.
DChagua Hesabu sahihi hapa
a) 43 - 26 = 17
b) 43 - 17 = 26
c) 43 - 43 = 0
d) None of the above
Mtani punguza basiWahaya watatuambia kwanini Ndege hiyo imeangukia Bukoba na wala siyo Musoma ambako na kwenyewe Ziwa lipo vile vile. Watanikoma leo.....!!!!!!
MmhChagua Hesabu sahihi hapa
a) 43 - 26 = 17
b) 43 - 17 = 26
c) 43 - 43 = 0
d) None of the above
Ndio alivyokuambia?Huenda alihisi itaanguka akadump mafuta yote
Tulia weweeeNdio alivyokuambia?
Wewe....Unfortunately mpaka Muda huu zaidi ya watu kumi wamepoteza maisha hizi habari nimepewa na ndugu yangu yupo hapo Government hosptal Bukoba
Kuna picha inaonyesha watu wamelala kwenye njia ya kurukia ndege sasa sijui wale ni maiti au wako hai.
Tusitukane mamlaka,sisi walipa kodi ndiyo tujitukane,helkopita za kupeperusha bendera za sensa zipo,za kuokoa maisha yetu,hatuna.ina maana hata jeshi letu la wananchi hapo Bukoba halina Helicopter hata mbili au tatu na chap kwenda pale kufanya tandemn lifting na kuipull chap hiyo ndege kwenye kina kidogo nchi kavu?.
Hapo ziwani Bukoba kabisa hakuna tag boats za kuivuta hiyo ndege?.
Ina maana hapo Bukoha mjini hakuna sling au belts za zaidi ya 20tons zikaungwa kama wananchi walivyounga hiyo kamba na Bulldozer ikavuta ikiwa nchi kavu?.
Miaka yote hapo kiwanjani pamoja na kuwa karibu na ziwa hakuna rescue yenye watu mahiri na vifaa kuokoa ziwani?.
Naamini ndege ilivyokuwa mwenye maji ndani ya ndege hakukuwa na power supply, hivyo hakukuwa na hewa, zaidi ya 1hrs ndani ya maji mkiwa kwenye ndege bila hewa... MUNGU UWANUSURU NDUGU ZETU.
Simu za kiganjani labda zinafanya kazi!! Maana mitambo yote humo lazima imezimaKwahiyo Rubani Mzoefu Kazamisha Ndege au? Halafu naomba kujua inawezekana vipi Ndege kama hiyo ikwa imeanguka na Kuzimika kabisa hata kwa Mitambo yake halafu Marubani wake bado wawe na access ya Mawasiliano na Mkuu wa Mkoa Samjo Samjo ( Msanii ) kama Albert Chalamila na Wengineo?
Hii ni Ajali- Disaster.. zoezi la Testing.. Full Testing ni nadra kulifanya... huwezi ku involve Passengers... most of ISO zina care Human safety... kuliko kitu chochote.. yale mazoezi ya moto ni tofauti na hii ajali...Pimbi, hii sio ajali, ni zoezi tu la kupima uwezo wa uokozi endapo ajali halisi itatokea. Inaitwa AJALI ZOEZI
Huyo kachambwa n nanMtoto wa kachwamba Amefariki pamoja na jitihada zote za kuivuta hiyo ndege na bulldozer lakini amekuta mwanae kipenzi Ameshafariki.
Nimeumia Sana