Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Akitoa taarifa ya awali kuhusu ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 2:35 asubuhi ikiwa ni mita 100 kabla ya kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba

UZOEFU WA MAZOEZI YA UTAYARI KUKABILIANA NA MAJANGA UTUMIKE
Kazi sasa ya vikosi vya uokozi na usalama kuja na ule mpango kazi walionao wa utayari kukitokea majanga kama haya.

Idara jeshi la Zimamoto, Mamlaka za Viwanja vya Ndege, Mamlaka ya Bandari Tanzania, Polisi na serikali ya mkoa, Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na serikali kuu taifa pia bila kusahau Ma -Engineer wanatakiwa kuingia kazini kwa pamoja kufanya uokozi kwa kutumia vifaa vyao na utaalamu wao.
 
Muwe mnachezaga hata simulator za ndege
 
Unajua hiyo ndege ina tani ngapi?

Vitu vingine usiongee bila kujua
 
Huyo aliyepewa ubunge wa EA na kumuacha @paschalmayalla.
Familia ya Mzee Kachwamba ukoo wa panya walikula KCU hadi kubaki mifupa na bado wanae na wajukuu wanazawadiwa vyeo huko CCM...smahani wakuu nimekuwa too emotional na kusahau "msiba"
Kwahiyo aliekufa ni mbunge au mtoto wa mbunge?
 
Unajua hiyo ndege ina tani ngapi?

Vitu vingine usiongee bila kujua

iko kwenye maji mzee, two hellicopters za kawaida kabisa zikifanya tandemn lifting na kuipull nchi kavu inawezekana kabisa...

tunazungumzia slight lift na pull, unaona hapo huo mtumbwi wa wavuvi unachofanya kuivuta maana tayari ni boyancy hiyo inaelea na kuivuta ni simple.
 
Ingekuwa kipindi cha Magufuli tungeambiwa hamna MTU hata mmoja aliyefariki,nakumbuka kipindi kile tren imeua watu wengi Dodoma lakini vikaripotiwa vifo so chini ya 10.
Hapana!!! Mimi siyo wala sikuwahi kuwa mshabiki wa JPM lakini kwenye hili ninamtetea!!. Tena nakumbuka taarifa ya habari inasomwa na Betty Chalamila saa 2 usiku akatoa angalizo kuwa picha zitakazofuata ni mbaya. I still have in my mind picha za watu watoto kwa wakubwa walivyobanwa kwenye mabehewa!!. Hapana hawakuficha idadi ya waliofariki sababu hata memorial yao ipo Dodoma sehemu walipozikwa wale walioshindwa kutambulika
 
Hivyo vifaa vya kufanya hayo unayosema vipo?
 
Siwatetei polisi,hivi kamandi ya maji ya JWTZ kazi yake ninini,au wao ni kufanya maonyesho Disemba?Wote hapo wanatakiwa kushirikiana.
 
Ndege huwa inaruka angani japo ikitua ziwani inavyo vifaa vyake vya uokoaji yaani fulana na maboya ila inahitaji wahudumu wake walio makini na jasiri. Ndege ina milango na boya kubwa ambalo hutumika kuwatoa abiria ndani tayari wakiwa wamevaa fulana za kuelea japo haziwazuii samaki na mamba kutafuna miguu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…