robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
Wewe ulishasema lipi likatokea hata kwa 0.005%. leta uzi wako!...Alisema Ndege itakayoanguka 'itakatika Vipande Viwili' na Ina Logo nyekundu! Yote hayo hayajatokea Kwa Precision!
Msimpe TU Sifa za Kijinga!!
Akitoa taarifa ya awali kuhusu ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 2:35 asubuhi ikiwa ni mita 100 kabla ya kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba
Muwe mnachezaga hata simulator za ndegeKwahiyo Rubani Mzoefu Kazamisha Ndege au? Halafu naomba kujua inawezekana vipi Ndege kama hiyo ikwa imeanguka na Kuzimika kabisa hata kwa Mitambo yake halafu Marubani wake bado wawe na access ya Mawasiliano na Mkuu wa Mkoa Samjo Samjo ( Msanii ) kama Albert Chalamila na Wengineo?
Unajua hiyo ndege ina tani ngapi?ina maana hata jeshi letu la wananchi hapo Bukoba halina Helicopter hata mbili au tatu na chap kwenda pale kufanya tandemn lifting na kuipull chap hiyo ndege kwenye kina kidogo nchi kavu?.
Hapo ziwani Bukoba kabisa hakuna tag boats za kuivuta hiyo ndege?.
Ina maana hapo Bukoha mjini hakuna sling au belts za zaidi ya 20tons zikaungwa kama wananchi walivyounga hiyo kamba na Bulldozer ikavuta ikiwa nchi kavu?.
Miaka yote hapo kiwanjani pamoja na kuwa karibu na ziwa hakuna rescue yenye watu mahiri na vifaa kuokoa ziwani?.
Naamini ndege ilivyokuwa mwenye maji ndani ya ndege hakukuwa na power supply, hivyo hakukuwa na hewa, zaidi ya 1hrs ndani ya maji mkiwa kwenye ndege bila hewa... MUNGU UWANUSURU NDUGU ZETU.
Hadi muda huu kuna 17 hawajatolewa kwenye ndegeSo sad mbona tuliambiwa wote wametoka salama [emoji25]
Ajali ya Meli kule Ukerewe hakukuripotiwa watu kufa. ACHA hizoIngekuwa kipindi cha Magufuli tungeambiwa hamna MTU hata mmoja aliyefariki,nakumbuka kipindi kile tren imeua watu wengi Dodoma lakini vikaripotiwa vifo so chini ya 10.
Huyo aliyepewa ubunge wa EA na kumuacha @paschalmayalla.Huyo kachambwa n nan
Kwahiyo aliekufa ni mbunge au mtoto wa mbunge?Huyo aliyepewa ubunge wa EA na kumuacha @paschalmayalla.
Familia ya Mzee Kachwamba ukoo wa panya walikula KCU hadi kubaki mifupa na bado wanae na wajukuu wanazawadiwa vyeo huko CCM...smahani wakuu nimekuwa too emotional na kusahau "msiba"
Unajua hiyo ndege ina tani ngapi?
Vitu vingine usiongee bila kujua
Huu ujinga wa "jitihada za Mzee Ruhangisa, Omulangila ta Balyagati" nk kutukuza majina kunawaangusha sana nyie nshomile! Obufela!Mtoto wa kachwamba Amefariki pamoja na jitihada zote za Baba yake kuivuta hiyo ndege na bulldozer lakini amekuta mwanae kipenzi Ameshafariki.
Nimeumia Sana
Najua wazi kwa nini umefurahi na kuleta mzaha kwenye hii ajali ya precision air. Siyo kingine ni chuki zako za kiukabila na ukanda na sampuli yako ni wengi wengine Hadi wanashangilia Precision air kwishaaaa.Sato wameshaanza Kula Visigino vyao.
Hapana!!! Mimi siyo wala sikuwahi kuwa mshabiki wa JPM lakini kwenye hili ninamtetea!!. Tena nakumbuka taarifa ya habari inasomwa na Betty Chalamila saa 2 usiku akatoa angalizo kuwa picha zitakazofuata ni mbaya. I still have in my mind picha za watu watoto kwa wakubwa walivyobanwa kwenye mabehewa!!. Hapana hawakuficha idadi ya waliofariki sababu hata memorial yao ipo Dodoma sehemu walipozikwa wale walioshindwa kutambulikaIngekuwa kipindi cha Magufuli tungeambiwa hamna MTU hata mmoja aliyefariki,nakumbuka kipindi kile tren imeua watu wengi Dodoma lakini vikaripotiwa vifo so chini ya 10.
Hivyo vifaa vya kufanya hayo unayosema vipo?Kama kuna vifo basi vinatokana na uzembe katika uokozi, na vifo vitakuwa vimetokana na watu kukosa hewa wakiwa ndani ya Yai majini.
Haraka baada tu ya kuwa majini, ilipaswa ivutwe chap nchi kavu maana inaonekana sio mbali na then kuitoboa au kufungua milango haraka na kutoa watu ikiwa nchi kavu.
Uzembe mkubwa sana wa mamlaka husika kushindwa kuwaza haraka na kufika kwenye eneo husika kwa haraka na vifaa husika kwa haraka kuokoa maisha ya watu.
Kama kuna vifo basi vinatokana na uzembe katika uokozi, na vifo vitakuwa vimetokana na watu kukosa hewa wakiwa ndani ya Yai majini.
Haraka baada tu ya kuwa majini, ilipaswa ivutwe chap nchi kavu maana inaonekana sio mbali na then kuitoboa au kufungua milango haraka na kutoa watu ikiwa nchi kavu.
Uzembe mkubwa sana wa mamlaka husika kushindwa kuwaza haraka na kufika kwenye eneo husika kwa haraka na vifaa husika kwa haraka kuokoa maisha ya watu.
Siwatetei polisi,hivi kamandi ya maji ya JWTZ kazi yake ninini,au wao ni kufanya maonyesho Disemba?Wote hapo wanatakiwa kushirikiana.Wavuvi wenzangu wa Nyamukazi mmehitahidi sana, masaa zaidi ya manne mnapambana, Polisi na vikosi vya usalama hakuna ambaye uniform yake imedondokewa na tone la maji! Helikopta zipo kwa ajili ya kupeperusha mabango ya sensa!
Aibu kubwa sana kwa serikali hii, Waziri wa uchujuzi usipojiuzuru tutakushughulia kwa nguvu ya umma!
Ndege huwa inaruka angani japo ikitua ziwani inavyo vifaa vyake vya uokoaji yaani fulana na maboya ila inahitaji wahudumu wake walio makini na jasiri. Ndege ina milango na boya kubwa ambalo hutumika kuwatoa abiria ndani tayari wakiwa wamevaa fulana za kuelea japo haziwazuii samaki na mamba kutafuna miguu.Mungu awaokoe waliomo. Maana ziwa kubwa kama hilo lakini hatuna mfumo mzuri wa kuokoa watu wakipatwa na majanga.
Tangu ajali ya Mv Bukoba mwaka 1996 ilipotokea hakuna juhudi za maana za kuwa na mfumo wa kisasa wa uokozi kwenye ziwa hilo kubwa barani Afrika.
Kifo ni lazima panic na kukosa oxygen.I am at the crash site naona miili 3 imeopolewa, gari limeleta magodoro kama 12 ya kulaza maiti, uopoaji unaendelea