Mkuu mimi nilisikiaga zile ndege ni mtumbaAcheni chuki zisizo na msingi. Mitumba ni hii inaanza kudondoka hovyo. Si mlikuwa mnaona awamu ile ya wanoko ngojeni tu ability zitakaa Sawa huu ni mwanzo tu.
Kweli aisee, jamaa mchawi yule.Kuna mtu alitabiri juzi hapa kuwa ndege itaanguka tena hapa jamii forums....
Yule jamaa ni mchawi
Nchi hii shida sana wako busy kwenye press conference zakina Mwijaku na kina Manyoyo ndio habari pwendwa hizo.Huwezi amini vyombo vya habari vya Tz breaking news wameipata hapa Jamiiforums na wengine zinapita dk kadhaa hapa lakini bado hakuna breaking news la tukio hili. Tupo nyuma sana ndugu zangu watanzania
Duh,aisee kuna watu wana maono...Kuna mtu alitabiri juzi hapa kuwa ndege itaanguka tena hapa jamii forums....
Yule jamaa ni mchawi
Mtu akiona mawingu yametanda kisha akisema mvua itanyesha na baadaye mvua ikanyesha kweli ! Huo sio uchawi. !Kuna mtu alitabiri juzi hapa kuwa ndege itaanguka tena hapa jamii forums....
Yule jamaa ni mchawi
Ndoto zake zinatimiaYule alisema ndege yenye alama nyekundu sasa hawa sio rangi yao lakini kwa Bongo atauza sana
Tuwagawie ile anayozurura nayo shangazi mzanzibar
Ni kweli.Hapo wakiweza kuact fast watu wanaokolewa.
Watu hawapo attentive to details. Ndo shida kubwa bongoYule alisema ndege yenye alama nyekundu sasa hawa sio rangi yao lakini kwa Bongo atauza sana
Sasa ulijuaje kama uko kitonga ama ilichanja kwa barabaraAanh
Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries
Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano
Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi