mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 7,938
- 17,729
Mkuu mimi nilisikiaga zile ndege ni mtumbaAcheni chuki zisizo na msingi. Mitumba ni hii inaanza kudondoka hovyo. Si mlikuwa mnaona awamu ile ya wanoko ngojeni tu ability zitakaa Sawa huu ni mwanzo tu.
Mzigo mpya 0km ya ndege sio mchezo
Sina roho mbaya wala chuki na magu
Mimi mwenyewe nilikua namkubali katika maendeo kadhaa