Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Precision air yapata ajali Bukoba ziwa Victoria
View attachment 2408189
View attachment 2408195
===
NDEGE YA PRECISION YAANGUKA ZIWANI BUKOBA
Ndege ya Shirika la Ndege la Precision, imeanguka ziwani mjini Bukoba, Mkoani Kagera asubuhi ya leo Novemba 6, 2022
Taarifa za awali zinaonesha ndege hiyo imeanguka ziwani, uokoaji wa abiria unaendelea.
Taarifa kwa kina zinafuata
Alisema ina logo nyekundu na itakatika katikati. Utabiri wake sio wa ndege hii maana haina logo nyekundu na haijakatika katikatiKuna mtu alitabiri juzi hapa kuwa ndege itaanguka tena hapa jamii forums....
Yule jamaa ni mchawi
Umeambiwa utabiri wewe unataka kila kitu iwe 100% . Nini maana ya utabiri?Watu hawapo attentive to details. Ndo shida kubwa bongo
Hatari Sana Yaani Hatuijui Dakika Moja Mbele Kutatokea NiniAanh
Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries
Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano
Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi
Nime google labda nitapata breaking news update nimeingia site yao hakuna habari yoyote napata mashaka na hizi habari jambo kama hili kweli hakuna sehemu tukapata habari za uhakikaNi kweli.
Hali ya hewa ilikuwa ni ya mvua nyingi. Na inaonekana landing alianzia upande wa Zamzam ambako kuna obstacles.
All in all, tunaanza kulikumbuka wazo la Magu la kurefusha uwanja upande wa ziwani. Hii sijui iliishia wapi! Sasa tunaanza kuona madhara ya kupuuza wazo hilo.
Mimi katika uhai wangu, hii ni ndege ya pili kupata ajali ya aina hiyo kwenye hiyo site. Ya kwanza ilikuwa ndege ya jesh(siyo ya kivita) wakati wa vita na Iddi Amin. Ndege hiyo ilikuwa aina ya Buffalo.
Watu humponda Magu pasipo kujua, hizo ni mitumba , hatari kwa usalama wa wananchi, lakini wenye roho nzuri wana kuambia Magufuli aliwafukuza, hii nchi watu wanaongea sana with zero facts.Fastjet na precisionair wanatumia ndege za mtumba. Na fastjet ndio zilikuwa kimeo kabisa. Magu alilijua hili na ndio maana kwa kutumia kodi zetu akataka atuhakikishie usalama pia kwa kununua ndege mpya.
Lengo ilikuwa usalama kwa watanzania badala ya kusubiri majanga.
Hahaha dah! Ulisahau na nyimbo za vilingeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aanh
Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries
Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano
Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi
Nani huyi duuKuna mtu alitabiri juzi hapa kuwa ndege itaanguka tena hapa jamii forums....
Yule jamaa ni mchawi
Hata mimi nakumbuka kuna jamaa alitabiri ndege kupata ajali!Huo uzi naukumbuka. N watu walimponda sana
@maharage ya ukweniHata mimi nakumbuka kuna jamaa alitabiri ndege kupata ajali!