Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Fastjet na precisionair wanatumia ndege za mtumba. Na fastjet ndio zilikuwa kimeo kabisa. Magu alilijua hili na ndio maana kwa kutumia kodi zetu akataka atuhakikishie usalama pia kwa kununua ndege mpya.

Lengo ilikuwa usalama kwa watanzania badala ya kusubiri majanga.
Precision ilifata hizi ATR Ufaransa, alienda Bdozen kama ambassador
 
Mmmh ndugu yangu. Turbulence kwa ndege ni kitu cha kawaida. Hata hayo ma airbus na boengs za wenzetu hupitia hali hiyo ktk baadhi ya maeneo.
Asante kwa kumjibu. Jamaa inaonekana hana uzoefu wa kusafiri wka ndege mara kwa mara au hafuatilii ajali zinazotokea sehemu nyingine.

Tushukuru tuna hizo ndege ambazo kiukweli zinasaidia sana usafiri wa anga hasa wa ndani.

Bado ndege inaendeleankuwa usafiri salama zaidi kuliko wa barabara
 
Wasije wakasitisha uokozi ili wakalale kama ilivyokuwa kwa MV Nyerere.

Muumba waokoe waja wako
 
Imetokea masaa machache ilipokua ikitaka kutua kwenye kiwanja cha ndege kilichopo bukoba mjini ila ikadumbukia ziwa viktoria. Habari zaidi zinakuja nawaombea abiria wote watoke salama na kuokolewa wote wakiwa bado wapo hai
1667719210805.jpg
 
 
Angalia zoezi la uokoaji ndege inavutwa na kamba
 
Hapo unatamani ungesikiliza yale maelezo ya usalama (safety instructions) yanayotolewa na cabin crews ambayo huwa watu wanapuuza kusikiliza.

Unaweza hata usilione boya ukamyang'anya mwenzako 🤣
Maelezo yao nilivyowaelewa ni kwamba maboya yapo chini ya siti. Ukiona ndege inaanguka, unalivaa unatoka nje, halafu unashika zile valve zilizopo begani unazielekeza juu ili zijaze hewa, ili ukifika kwenye maji uelee juu kwa kuwa life jacket litakuwa limejaa upepo.

Sasa sijui ni wangapi wanazingatia haya na kuyafanya. Ukichanganya kiwewe cha ajali
 
Kuna uzi mtu alitabiri kama wiki mbili zilizopita kwamba kuna ndege itaanguka TZ na akaishia kula matusi. Huu hapa

Kabisaaaa...aisee
 
Taarifa zilizopo ni kwamba Precision Air ilipata Ajali jirani kabisa na Uwanja wa Ndege wa Bukoba, sababu ni kutokana na Hali ya hewa kuwa mbaya. Haikuangukia kwenye maji kabisa ila kwenye tope zaidi. Hakuna Majeruhi wala Vifo. Wote wameokolewa.'

Taarifa zilizopo ni kwamba Precision Air ilipata Ajali jirani kabisa na Uwanja wa Ndege wa Bukoba,sababu ni kutokana na Hali ya hewa kuwa mbaya. Haikuangukia kwenye maji kabisa ila kwenye tope zaidi. Hakuna Majeruhi wala Vifo. Wote wameokolewa.
Asante Yesu
 
Aanh

Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries

Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano

Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kam

Upo sahihi,
 
Back
Top Bottom