Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

The MOST LIKELY cause ya ajali hii. Sasa jumlisha na hali tete ya hewa! Pengine hata rubani na first officer walilalamikia tatizo husika la ubovu wa ndege, ila wakapuuzwa. Very sad!
 
Nia yako Kuu ilikuwa ni Kututambia tu kuwa nawe umeshawahi Kupanda Ndege ila tatizo lako sasa hapa umetumia njia ndefu mno na inayotuchosha Kutulazimisha tuamini hivyo.
Kwani kuna ubaya wowote akisema amewahi kupanda ndege? Ni mwiko kwani, au?

Mbona wewe unatangaza mchana kutwa usiku kucha kwamba ndiye mwenye akili kuliko watu wote duniani, na hakuna anayekuponda mawe!

Hujawahi kuipanda, siyo? Punguza ushamba GENTAMYCIME 🙂

NB: Najua una hasira kwa sababu ulidai kwamba hakuna abiria aliyetoka akiwa hai kwenye hiyo ajali. PBB - Poor baby boy!
 
1. Ndege ya PA iliyopata ajali haikuwa mbovu wala kuwa na tatizo.
Una uhakika gani?

2. Ndege ya PA haikuwa na upungufu wa ziada ya mafuta kwani ruban alitangaza kurudi Mwanza akishindwa kutua mara ya pili.
Kutangaza kurudia Mwanza siyo hoja ya kuthibitisha kwamba ilikuwa na mafuta ya kutosha. Kama Rubani aliwahadaa abiria?

Pengine hoja ya msingi ni kwamba ndege ilikuwa iendelee na safari, na Bukoba hakuna refilling.

5. Maji yalianza kuingia mbele ndio maana haikuwa rahis marubani kusalimika
Kwenye cockpit maji hakuingia mara tu baada ya ndege kuchupa majini. It means rubani na first officer walikuwa hai. Pengine walifariki baadaye kutokana na uzembe wa uokozi.
 
Hizi taa za kuongezea ndege huwa ni shillingi ngapi?? Kwa nini baadhi ya viwanja havina hizi taa?!
V8 moja = taa zinazotosha kuangaza viwanja vyote vikubwa vya ndege East and Central Africa.
 
Nasikia mpaka rubani amefariki, ni kwamba ilizama Ziwani au kipi kilichowaua ? Nijuavyo mimi ndege ni kama ng‘ombe au meli huwa inaelea majini, sas nini kilochowaua?

Samahanini kama nimewakwaza, …
Umesikia wapi ndege inaelea majini?
 

Kama mlifikiri hatupogo, mnakosea sana. Haya semeni tuanze kumuokoa nani??

(Yaani nchi hii ujinga, maradhi na umaskini viko serious kuliko wananchi)
 
Ndege kutua kwa dharura ambako haitakiwi kutua ni nini mjuba?
Kuanguka ni kusababisha madhara na hata vifo. Ile ya Arusha (December 2013) haikuwa crash-landing, bali emergence landing. It means ndege haikuwa na hitilafu yoyote, isipokuwa uwanja ndio ulikuwa mfupi, ambapo ikasababisha Ethiopian Airline Boeing 767 ku-overshoot kwenye njiampao (runway), landing dears zikang'ata matope.



Kutua kwa dharura
maana yake ni kushuka kwa usalama licha ya hitilafu husika au tatizo la kimazingira kama vile hali mbaya ya hewa ama tishio la Al-Qaida 🙂 ama kuishiwa mafuta, etc. Implication ni kwamba rubani alikuwa na udhibiti mkubwa wa chombo hadi touch point, then landing.

Crash-landing ni aina yaemergence landing ambapo lote laweza kutegemewa (hatari ama usalama). Kwa mfano, ikithibitika kwamba rubani wa Precision Air alimua kui-land ndege hiyo last Sunday, baada ya kutambua uwezekano wa hatari, basi hiyo inaitwa emergence crash-landing.

Lakini kama ilimshinda kabisa, ikaporomoka kutoka angani bila juhudi wala udhibiti wake, siyo tena crash-landing, bali ni simply CRASH.

NB: Hata kama ndege imelipuka na kuwateketeza abiria wote (Mola aepushie mbali), bado itaitwa emergence crash-landing iwepo rubani alikuwa na udhibiti nayo, ila at touch-point ikawa hivyo tena.
 
Ingekuwa ni issue ya Chadema wote hapo ungewakuta wapo majini🐒🐒🐒
 
WAKUU samahani natoka nje ya mada, hivi kwanini Ndege inaenda na usawa wa bahari? Na kama inaenda na usawa wa Bahari mbona wakati mwingine unaona Inapita usawa wa NCHI kavu? Naombeni majibu wanajolojia.
 
WAKUU samahani natoka nje ya mada, hivi kwanini Ndege inaenda na usawa wa bahari? Na kama inaenda na usawa wa Bahari mbona wakati mwingine unaona Inapita usawa wa NCHI kavu? Naombeni majibu wanajolojia.
Usawa gani unaongelea...kupaa? au kipimo cha umbali kutoka chini hadi ilipo? Kama swali lako ni kupaa basi isikusumbue...inapaa na kupita popote kasoro maeneo hatarishi mfano kuna maeneo ya bahari ya Pacific ndege haikatizi...huwezi niambia ndege inaenda mbeya halafu lazima ipite usawa wa bahari ya hindi. LAKINI kwa KIPIMO...kinatumika "USAWA WA BAHARI" kwa kuwa ni Universal...ukipimia ardhi inayobadilika altitude yake kila sehemu tutapotezana. Tukisema ndege hii imeruka futi 10,000 juu ya usawa wa bahari...popote pale mtu ataelewa...lakini ukisema imeruka futi 10,000 juu ya mlima nyoka...mambo yasingeenda.
 
Ahasante kwa ufafanuzi kiongozi japo nimeng'amua vichache.
 
Kuwa na akili wewe inzi
Kuna soko vingunguti au unaropoka
 
Wakuu, hili jambo limeishaje? kwa sasa tuna rescue timu kila kanda ikiwa na vifaa vyote kwa wokozi? Je tuna helicopter ngapi za wokozi zikiwa tayari kwa lolote kila kanda?

Manake isije
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…