Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Tujifunze kwa makosa. Nidhahiri controal touwer walikuwa wanajua kilicho msibu rubani, na hatua alizo chukua kujaribu kukabiliana na hiyo hali,. Cha ajabu nikuwa uwanja wandege na vikosi vingine walichelewa kufika kwenye eneo la tukio.

Wakati Rubani alikuwa ana muda anajaribu kutafuta namna ya kutua salama.

Yawezekana pengine ni kutokana na miundo mbinu ya uokoaji, nina amini kila kiwanja cha ndege kilicho karibu na ziwa au bahari kinatakiwa kuwa na kambi malumu ya askari wana maji ambao wamepitia mafunzo ya kukabiliana na ajari kama hizo. Pale Airpot Mwanza , Bukoba sijaona kitengo kama hicho,

Zimamoto wapo lakini Marine wanapaswa kuwepo pia,.
Sikumoja nili shuhudia Rubani wa ndege ya mizigo alinusuru maisha yake na wafanyakazi wenzake hapa Mwanza,,
Baada yakutua ziwa victoria karibu kabisa na uwanja wandege,, na kilicho saidia ndege ilisogea kwenye kina cha maji mafupi hivyo walitoka salama.

Ifahamike kuwa ziko njia ambazo Marubani hutumia kujiokoa baadhi ya njia hizo ni kutua kwenye Miti mirefu au kwenye maji Baharini au Ziwani . [emoji24][emoji24][emoji24]

Itoshe kusema ,, Tume poteza waTanzania wenzetu lakini kwa tukio hili tujifunze na tujipange kwa tahadhari. Nitafurahi kuona Sarikari kama ita weka vikosi hivyo kwenye maeneo hayo huku kukiwa na boat za uokoaji.
 
Siyo treni mkuu?
Mkuu,tatizo la treni I'll useme Usafiri wake Ni salama zaidi inabidi uwe specific unaongelea treni ya aina gani.

Wewe huko mbele uliko Ni sahihi kusema treni Ni salama zaidi maana mnatumia hizo bullets. Sisi huku bongo na Africa kwa ujumla tunapanda hizi za mkaa(garimoshi) tunaanzaje kusema Ni salama zaidi ya ndege? Kilosa to Dar treni inaharibika zaidi ya Mara kumi na wakati mwingine abiria tunakatazwa kupanda na mbuzi na mikungu ya ndizi kuja nayo Dar..treni Kama soko la vingunguti. Linaanzaje kuwa salama kushinda ndege?
 
Aanh

Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries

Miaka 5 nyuma nakumbuka natoka Dar naenda Mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya Iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano

Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi
Yaani Nakumbuka nahisi tulikuwa pamoja kwenye ile ndege kabisa ile situation sitakuja kuisahau maishani mwangu Niliomba sala zotee Niliomba Toba,,Nilikaa na Bibi Mmoja kwenye siti nakumbuka ule mytikisiko ulivyoishaaa tulikumbatiana huku Machozi yakitoka,,Jamani Mungu awalaze hawa ndugu zetu waliopoteza maisha
 
Daah, mkuu. Hii ni ndege ujue na sio Marcopolo au Yutong[emoji1787][emoji1787]

Uendeshaji wa ndege na mabasi ni tofauti. Ina muda wa kutembea na muda wa service
Ninacho ongea nakijua kila siku uwa naziona kampun ina ndege nane tu na saiz zimebak 7 tu

Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mahali Ukuu wa Mungu unafeli, isipokuwa Barabarani uzembe huwa mkubwa kuliko Angani.

Imagine ili uwe Rubani wa ndege unahitaji si Chini ya miaka 5 kuweza kufuzu, na Dereva anahitaji skills kidogo na Leseni ambayo anaipata hata bila kuingia darasani.

Kwa route za ndani ya Nchi nyingi Rubani anarusha ndege Kwa muda wa masaa 1.5 (Mbeya - DSM) hadi 2 ( DSM - Mwanza) kuweza kutua wakati Kwa umbali huo Dereva wa basi anahitaji zaidi ya masaa 12 kuweza kufika.

Angalia mwenyewe wapi Pana risks zaidi
Exactly, barabarani risks nyingi, utaalamu wa dereva mdogo, leseni ndogo kila mtu na bibi yake wanayo, lakini ya rubani miaka mitano kuipata.

... Kwa hiyo unapokwama Ukuu wake na Uponyaji ni kwenye risks za barabarani. Sasa jana kafeli mpaka angani mpaka majini. Mungu anakwepaje lawama hapa ?
 
Kaangalie Global online tv .Yule Majaliwa muokoaji mvuvi kaeleza. Alishuhidia na mpaka aliongea kwa ishara na mapilot wakimwambia avunje dirisha la cockpit. Afisa mmoja akamzuia eti wanafanya mawaliano na pilot.What a stupid idea. Yule dogo Majaliwa ana akili sana yaani ikiwezekana apate ajira jeshi la uokoaji.
Tukisema nyie mnaye jiita wasomi ni mazuzu mnasema tunawatukana haya sasa oneni hizi roho za watu zinapotea kisa uzembe wa serikali na watumishi wa airport
 
Exactly, barabarani risks nyingi, utaalamu wa dereva mdogo, leseni ndogo kila mtu na bibi yake wanayo, lakini ya rubani miaka mitano kuipata.

... Kwa hiyo unapokwama Ukuu wake na Uponyaji ni kwenye risks za barabarani. Sasa jana kafeli mpaka angani mpaka majini. Mungu anakwepaje lawama hapa ?
Kama nilivyosema awali, ajali nyingi za Barabarani zinasababishwa na uzembe. Mtu anaendesha akiwa amelewa, akiwa na uchovu/usingizi n.k

Vyovyote iwavyo usafiri wa anga bado ni salama kuliko wa Barabara.

Hata hivyo Kuna wakati Mungu anataka kuonesha Ukuu wake kupitia baadhi ya matukio kama hayo.
 
Kaangalie Global online tv .Yule Majaliwa muokoaji mvuvi kaeleza. Alishuhidia na mpaka aliongea kwa ishara na mapilot wakimwambia avunje dirisha la cockpit. Afisa mmoja akamzuia eti wanafanya mawaliano na pilot.What a stupid idea. Yule dogo Majaliwa ana akili sana yaani ikiwezekana apate ajira jeshi la uokoaji.
hii part imeniuma sana. Yani lipumbavu limoja na lisimu lake limesababisha watu zaidi wasiokolewe..
 
Nasikia mpaka rubani amefariki, ni kwamba ilizama Ziwani au kipi kilichowaua ? Nijuavyo mimi ndege ni kama ng‘ombe au meli huwa inaelea majini, sas nini kilochowaua?

Samahanini kama nimewakwaza, …
 
Tujifunze kwa makosa. Nidhahiri controal touwer walikuwa wanajua kilicho msibu rubani, na hatua alizo chukua kujaribu kukabiliana na hiyo hali,. Cha ajabu nikuwa uwanja wandege na vikosi vingine walichelewa kufika kwenye eneo la tukio.

Wakati Rubani alikuwa ana muda anajaribu kutafuta namna ya kutua salama.

Yawezekana pengine ni kutokana na miundo mbinu ya uokoaji, nina amini kila kiwanja cha ndege kilicho karibu na ziwa au bahari kinatakiwa kuwa na kambi malumu ya askari wana maji ambao wamepitia mafunzo ya kukabiliana na ajari kama hizo. Pale Airpot Mwanza , Bukoba sijaona kitengo kama hicho,

Zimamoto wapo lakini Marine wanapaswa kuwepo pia,.
Sikumoja nili shuhudia Rubani wa ndege ya mizigo alinusuru maisha yake na wafanyakazi wenzake hapa Mwanza,,
Baada yakutua ziwa victoria karibu kabisa na uwanja wandege,, na kilicho saidia ndege ilisogea kwenye kina cha maji mafupi hivyo walitoka salama.

Ifahamike kuwa ziko njia ambazo Marubani hutumia kujiokoa baadhi ya njia hizo ni kutua kwenye Miti mirefu au kwenye maji Baharini au Ziwani . [emoji24][emoji24][emoji24]

Itoshe kusema ,, Tume poteza waTanzania wenzetu lakini kwa tukio hili tujifunze na tujipange kwa tahadhari. Nitafurahi kuona Sarikari kama ita weka vikosi hivyo kwenye maeneo hayo huku kukiwa na boat za uokoaji.
Serikali ijifunze mara ngapi, serikali yenu haina maono, viongozi wanawaza kubaki madarakani forever NI 🚮, SAA ngapi watatatua shida za Wana nchi
 
Mzunguko huo hauna tatizo kabisa kwenye hili. Kuna direct flights na kuna roaming flights. Wao kama waliona hiyo ya kuzunguka still kwao ni option nzuri huwezi kuwalaumu. Imekuwa ikitokea hivyo na all is well.
Tatizo kubwa lipo kwenye emergency preparedness and response mechanisms!

Nakumbuka kuna ndege ya Ethiopian iliwahi kuanguka pale Arusha airport. Rubani did everything right ndege ikafika ardhini Salama nje ya runway lakini control unit walimwambia kwa kuwa ndege yake ni kubwa, ndeefuuu kwenda juu uwanja hauna ngazi asubirie iletwe from KIA ndo waje washushwe. KIA to Arusha unazungumzia 50+Kms... Nahisi ushaanza kuona tatizo lipo!
1996 mkasa mkubwa wa MV BUKOBA hadi leo miaka 26 baadae bado hatujajipanga kikamilifu kukabiliana na dharura, ajali na majanga.
Serikali imejisahau sana imebaki kuwekeza kwenye vitu vya fahari badala ya kuimarisha mifumo ya kulinda usalama wa wananchi.

Factors za route na mizunguko ingekuja kwenye equation kama ndege ingekosa uwezo au mafuta ya kuzunguka kukamilisha ratiba zake!
Tusifumbie macho wala kunyamaza. Serikali imefanya uzembe.
Tuishurutishe ibadilike!
Ndege ya Ethiopian Airline "haikuanguka" kwenye uwanja wa ndege wa Arusha.
 
Tatizo mnaleta siasa Hadi kwenye Mambo ya kitaifa. Wewe ndio huwa unasafiri nao kila siku?. Ndege imeanguka ziwani kwa uzembe wa Viongozi wa Mamlaka ya ndege wa Bukoba.
Viongozi wa mamlaka ya ndege wa Bukoba hawahusiki na kuanguka kwa ndege ila wanahusika na uzembe katika uokoaji baada ya kuanguka ndege. Sijafanya siasa ila lugha picha kuwakilisha mawazo yangu.
 
Mkuu, sijui ni macho yangu yananidanganya nimeona kwenye instagram wakazi wa manispaa ya Bukoba walivuta ndege kwa kamba wakiwa na lengo la kuikwamua majini sijui!! Yaani mafundi/mainjina wa mkoa hata ubunifu hawana kabisa au ndio "AKAJALAMUKO" yaani hata kufikiria kwamba waleta four wheel drive heavy duty trucks au tractors zifungwe in tandem watafute chain au kamba ndefu ifungwe kwenye ndege ili ifutwe kirahisi na kwa haraka - madam President wewe ni mwelewa wa mambo hata ya kiufundi ukifafanuliwa vizuri na watu weledi na wabunifu - hivi Mh. Rais inaingia akilini kwamba situation kama hii unaweza kweli ukategemea Manpower (wanavuta kwa kamba -ooh,ooh,vuteni,vuteni!!) kuliko Horse Power (Mashines ie magari/tractor) kuvuta ndege kutoka majini in no time - Watanzania tukoje lakini??
Yaani eti walete vifaa vyao, then nani awalipe mafuta na nguvukazi yao? Si unajua tena kufa kufaana? Akili ya kibongo unaielewa kwanza?
 
Hii ajali kama ni pilot error ndo imeisha hiyo maskini mana na pilot mwenyewe kafariki hakuna kesi ila kama ni shida ya ndege basi byebye precision airways!

Hopefully tutajua what really happened baada ya uchunguzi!
Kama pilots wamefariki, basi tegemea ripoti ya uchunguzi iegemee kwenye pilot error na miscalculations. Poor Tanzania never learns!
 
Ndege huwa hazipati ajali mara kwa mara lakini huwa ikitokea ajali kupona ni nadra sana.
Na pia tanzania imejaa rushwa jambo ambalo unaweza kuta chombo kina hitilafu ila rushwa ikatumika kikaruhusiwa. Sitaki kucheza maisha yangu kamari
Ndiyo maana zile checkpoints za airports wanakwambia hakuna sababu ya kufanya ukaguzi wa abiria mara ya pili kwa sababu "wanaamini" walifanyiwa ukaguzi wakati wakiingia kituo cha kwanza. Seriously?
 
Back
Top Bottom