Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Hiyo ndege mbona kama imeenda pachikwa hapo tu kisilencer.. embu hichunguzwee hii.. hujuma..

Ajali fake hii..kwa ajali za ndege zinavyokuaga..
 
Hatari Sana Yaani Hatuijui Dakika Moja Mbele Kutatokea Nini
 
Nime google labda nitapata breaking news update nimeingia site yao hakuna habari yoyote napata mashaka na hizi habari jambo kama hili kweli hakuna sehemu tukapata habari za uhakika
 
Watu humponda Magu pasipo kujua, hizo ni mitumba , hatari kwa usalama wa wananchi, lakini wenye roho nzuri wana kuambia Magufuli aliwafukuza, hii nchi watu wanaongea sana with zero facts.
 
Lakini Precicion wana ndege nzuri sana,hizi ATR ni ndege zenye historia nzuri sana angani,sijajua kutakuwa kumtokea nini,kuna uwezekano mkubwa sana kuwa ni uzembe...
 
Hahaha dah! Ulisahau na nyimbo za vilingeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa mkoa wa Kagera amka Nenda ziwani,Ndege ya Precision Air yapata ajali ziwa Victoria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…