Pole yao, Mungu awaokoePrecision air yapata ajali Bukoba ziwa Victoria
View attachment 2408224
View attachment 2408189
View attachment 2408195
===
NDEGE YA PRECISION YAANGUKA ZIWA VICTORIA MJINI BUKOBA
Ndege ya Shirika la Ndege la Precision, imeanguka ziwani mjini Bukoba, Mkoani Kagera asubuhi ya leo Novemba 6, 2022
Taarifa za awali zinaonesha ndege hiyo imeanguka ziwani, uokoaji wa abiria unaendelea.
Taarifa kwa kina zinafuata
Ndizo zilizo karibu na location[emoji848] atleast hata hiyo mitumbwi ya mbao ipo maana kwny ndege kuna miparachuti hamna lyf_jacketsMitumbwi ya mbao ndo inaenda kuokoa , daah kweli hii ni Zama za kijenkitile ngwale
Precision ilifata hizi ATR Ufaransa, alienda Bdozen kama ambassadorFastjet na precisionair wanatumia ndege za mtumba. Na fastjet ndio zilikuwa kimeo kabisa. Magu alilijua hili na ndio maana kwa kutumia kodi zetu akataka atuhakikishie usalama pia kwa kununua ndege mpya.
Lengo ilikuwa usalama kwa watanzania badala ya kusubiri majanga.
Asante kwa kumjibu. Jamaa inaonekana hana uzoefu wa kusafiri wka ndege mara kwa mara au hafuatilii ajali zinazotokea sehemu nyingine.Mmmh ndugu yangu. Turbulence kwa ndege ni kitu cha kawaida. Hata hayo ma airbus na boengs za wenzetu hupitia hali hiyo ktk baadhi ya maeneo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha dah! Ulisahau na nyimbo za vilingeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Eh? Mungu ni Mwema, atawanusuru watoke salama...?Imetokea masaa machache ilipokua ikitaka kutua kwenye kiwanja cha ndege kilichopo bukoba mjini ila ikadumbukia ziwa viktoria. Habari zaidi zinakuja nawaombea abiria wote watoke salama na kuokolewa wote wakiwa bado wapo hai View attachment 2408226
Maelezo yao nilivyowaelewa ni kwamba maboya yapo chini ya siti. Ukiona ndege inaanguka, unalivaa unatoka nje, halafu unashika zile valve zilizopo begani unazielekeza juu ili zijaze hewa, ili ukifika kwenye maji uelee juu kwa kuwa life jacket litakuwa limejaa upepo.Hapo unatamani ungesikiliza yale maelezo ya usalama (safety instructions) yanayotolewa na cabin crews ambayo huwa watu wanapuuza kusikiliza.
Unaweza hata usilione boya ukamyang'anya mwenzako π€£
Kabisaaaa...aiseeKuna uzi mtu alitabiri kama wiki mbili zilizopita kwamba kuna ndege itaanguka TZ na akaishia kula matusi. Huu hapa
Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria
Salaam Aleykum Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie. 1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi...www.jamiiforums.com
Watu wanaomba kheri ndugu zetu watoke salama wewe unaleta mambo yasiyo na heshima kabisa! Acha haya mambo...heshima muhimu mno.πππTuwagawie ile anayozurura nayo shangazi mzanzibar
Asante YesuTaarifa zilizopo ni kwamba Precision Air ilipata Ajali jirani kabisa na Uwanja wa Ndege wa Bukoba, sababu ni kutokana na Hali ya hewa kuwa mbaya. Haikuangukia kwenye maji kabisa ila kwenye tope zaidi. Hakuna Majeruhi wala Vifo. Wote wameokolewa.'
Taarifa zilizopo ni kwamba Precision Air ilipata Ajali jirani kabisa na Uwanja wa Ndege wa Bukoba,sababu ni kutokana na Hali ya hewa kuwa mbaya. Haikuangukia kwenye maji kabisa ila kwenye tope zaidi. Hakuna Majeruhi wala Vifo. Wote wameokolewa.
Sidhani kama ni kweliPamoja na yote, ndege ndiyo Usafiri salama zaidi kuliko wowote.
Kweli ni ipi mkuu?Sidhani kama ni kweli
Tuwekeeni huo uziKuna mtu alitabiri juzi hapa kuwa ndege itaanguka tena hapa jamii forums....
Yule jamaa ni mchawi
Huo usafiri ikitokea ajali %90 ni kifo tena abiria woteKweli ni ipi mkuu?
Aanh
Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries
Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano
Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kam