nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,408
- 2,196
Poleni Sana abiria na wote mlioko kwenye eneo la tukio Kwa kazi ya uokoaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo Logo nyekundu ipo wapi?Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria
Salaam Aleykum Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie. 1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi...www.jamiiforums.com
Nae kabet tu...ina logo nyekundu? Imekatika vipande???[emoji2781]Kuna uzi mtu alitabiri kama wiki mbili zilizopita kwamba kuna ndege itaanguka TZ na akaishia kula matusi. Huu hapa
Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria
Salaam Aleykum Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nasikitika kusema kwamba siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie. 1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi...www.jamiiforums.com
Aanh
Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries
Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano
Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi
Mungu aingilie kati wanusurike jamaniHapo unatamani ungesikiliza yale maelezo ya usalama (safety instructions) yanayotolewa na cabin crews ambayo huwa watu wanapuuza kusikiliza.
Unaweza hata usilione boya ukamyang'anya mwenzako [emoji1787]
Naenda kupaka doa jekundu pale basi mfurahi......Alisema Ndege itakayoanguka 'itakatika Vipande Viwili' na Ina Logo nyekundu! Yote hayo hayajatokea Kwa Precision!
Msimpe TU Sifa za Kijinga!!
Mkuu una umri Gani? Unajua maana ya utabiri...Kuna jambo lolote la utabiri linatokea 💯%? Hata utabiri wa kwenye biblia umejaa mafumbo na huwezi ukatokea kwa mfanano uleule wa mtabiri.Alisema Ndege itakayoanguka 'itakatika Vipande Viwili' na Ina Logo nyekundu!
Yote hayo hayajatokea Kwa Precision!
Msimpe TU Sifa za Kijinga!!
Kwa mtu mwenye experience na spiritual vision, hiyo kitu ipo sahihi. Kabla ya kuona taarifa hayo maono, nafsi yake ilikuwa na taarifa hasi za ndege ziangukapo na cha kuelewa roho hupokea taarifa then nafsi ina fasiri , sasa kama nafsi in wrong info easy ku add kitu na hata kikaharibu maana kamili. Jamaa aliluwa sahihi 100%, ila nafsi yake haina utulizu na right information juu ya ndege.. ndio maana ili kimbilia kufarisi kama kumegeka kwasababu ndio taarifa aliyo nayo awali ila naamini sio taarifa iliyo rohoni mwake, kuhusu rangi ni purity ya nafsi imechangia that why ukitoka kuzini alafu upate maono hutopata rangi sahihi hata siku moja nyeusi unaweza ona ni blueNa utabiri hauwezi kuwa 100% perfect.. Kwakuwa ni utabiri
Vitu vya kijinga sana....wanachoweza ni kununua magari mapya...ukisema wananuna..Mitumbwi ya mbao ndo inaenda kuokoa , daah kweli hii ni Zama za kijenkitile ngwale
Ila ajali imetokea Sasa Mara nyingi utabiri syo kwamb tukio litatokea directly ikafanana na maono aliyo yaona ,mm binafsi naotaga ndoto ambazo 90 Ni za kweli ,...Alisema Ndege itakayoanguka 'itakatika Vipande Viwili' na Ina Logo nyekundu! Yote hayo hayajatokea Kwa Precision!
Msimpe TU Sifa za Kijinga!!
Haya mambo ya kijinga hatuyapendi.Naona yanazoeleka Tanzania sasa. Linafanyika jambo la kushtua moyo halafu wanakuja watu wanasema ilikuwa ni mazoezi ya utayari. Fanyeni huko maporini mazoezi yenu.Ni emergency Drill...Sio ajali ya kweli
Nop Inagusa image ya nchi kwenye aviation industry ya dunia hivyo hawawezi kuandika tu kirahisi bila uratibu na hasa baada ya taarifa rasmi.Wako sahihiHuwezi amini vyombo vya habari vya Tz breaking news wameipata hapa Jamiiforums na wengine zinapita dk kadhaa hapa lakini bado hakuna breaking news la tukio hili. Tupo nyuma sana ndugu zangu watanzania