Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Watu 26 wame okolewaje? , Wamepitia sehemu gani ambapo waliobaki hawawezi kupita?

Hii nchi ni aibu sana , Ina maana hatuna vitu vizito vya kuvuta hii kitu toka asubuhi saa mbili asubuhi? Crane/tinga tinga/ tunge approach kampuni za ujenzi wa Chinese waje watu saidie kuvuta.
 
Kabla ya kuondoka kutoka bk anakiwa tumbua watu , Uongozi wa Mkoa hata Kama vifaa maalum vya uokozi havipo, walishindwa pata hata magereda manne kuivuta ndege nchi kavu mpaka kuwaachia watu kuvuta kweli , Kama yanakosa mikoani hata wangejaribu ivuta KWa scania

Au matrekta aina ya Ford.
 
We uliwahi kuona basi la abiria limepata ajali halafu mmiliki skawa analia hivyo utadhani waliokufa ajalini ni ndugu zake, ilhali bima ipo ana uhakika wa kupata mtaji wake ?
Hii clip inafikirisha, nyuma ya hili ipo siri nzito ila ndio imeshaanza kufunuliwa tayari , hakuna siri tena, itajulikana tu,


Hatari sana! Sio kwamba analilia brand ya biashara walio i'buld kwa muda alafu inakuja kuharibika kizembe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo wanapoivuta wanaokoa ndege au watu?
Labda sielewi mimi ila kwa akili tu ndege hiyo ilikuwa inaonekana bado na ipo kwenye kina kifupi
Swali kwanini hawakufanya jitihada za kukata juu ili waokoe watu?

Ndege inavyutwa utafikiri wanavuta nyangumi
Nasubiri comment za waliookolewa waseme walivyokuwa wanavutwa
Naona hapa wanaokoa ndege
 
Not only kukosa hewa huwezi jua pengine kulikuwa na leakages maji yakaanza kujaa kwenye cabin.

Na huo ni wasi easi wangu. Kwa ule ukaribu na nchi kavu, uwezekano Mkubwa kina Cha maji kifupi hivyo itakua ilijikita kwenye udongo/ mchana ukizingatia ziwa Victoria Kuna mawe, sidhani kama ilisalimika.

Isingeingiza maji au kujikuta kwenye mchanga, ingeelea na kuzama taratibu. Hizo Bado ni nadharia tu.
 
Watu 26 wame okolewaje? , Wamepitia sehemu gani ambapo waliobaki hawawezi kupita?

Hii nchi ni aibu sana , Ina maana hatuna vitu vizito vya kuvuta hii kitu toka asubuhi saa mbili asubuhi? Crane/tinga tinga/ tunge approach kampuni za ujenzi wa Chinese waje watu saidie kuvuta.
Watu washajua ukweli kitambo,ndo maana mmiliki wa precission analia kwakuwa anajua ile passengers list status yake ni D**D
 
Screenshot_20221106-155249_1.jpg
 
Back
Top Bottom