ushawahi kuona zitto anakamatwa kindenzi?"japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tuu makofi amechomoka!."
[emoji848]Mkuu unaweza ukanidadavulia kidogo hapo?
Baba mkwe huyo..Asije akarudi bila mkono...!
Zitto mke wake si mzungu? Mtoto wa mhe jaji Bwana? Au yupi huyoSasa Muke Mkubwa ya Zitto ndio hatar jiddah, Shombe shombe la maana, Assist ya lile Goli alipewa na Hayati Deo Filikunjombe
Mhe bulembo ni mbunge wa kuteuliwa na Rais kwenye vile viti 10 ambavyo pia kina prof ndalichako,prof kabudi wamo hukoHivi Bulembo amewahi kushinda uchaguzi? Achana na huu ubunge wa viti maalumu aliozawadiwa
Yaani huwa nashangaa, hata lile sakata ya kuishtaki serikali kwa 'mabeberu' walivyomkomalia Bungeni nilijua ndo mwisho wake, ila cha ajabu bado anadunda tuushawahi kuona zitto anakamatwa kindenzi?
Paskali acha kupotosha, mshangiliaji kachomoka na Carolina. Zitto siyo kigagula kiasi hicho. Anyway huyo bulembo anayetishia katumia kiinua mgongo chake kwani Zitto hakulipwa hayo mamilion? Haoni aibu kumshambulia mtu aliyemsaidia kazi ambayo bulembo haruhusiwi kufanya? Aheshimu mkwewe.Hala hala...Bulembo!, kasome kisa cha Mfalme Midas, kinachoitwa "The Midas Touch", tunaojua chanzo cha chuki ya Bulembo kwa Zitto hatushangai, wasiwasi wangu ni badala ya Zitto kulia, asije kujikuta analia yeye!.
japo najua kweli Bulembo yuko fit maana siku ile alipomhukumu kifo Zitto pale Bungeni, yeye mtoa hukumu anaendelea kudunda ila yule mshangiliaji hukumu ile kwa kupiga tuu makofi amechomoka!.
Watu wengine sio wa kuchezea!.
P
Kuteuliwa si ndo viti maalum hivyo vya Rais, namzungumzia huyo Bulembo baba mwenye kitambiMhe bulembo ni mbunge wa kuteuliwa na Rais kwenye vile viti 10 ambavyo pia kina prof ndalichako,prof kabudi wamo huko
Au ulikuwa unazungumzia HALIMA BULEMBO?
Halima Bulembo ni mke halali wa Zitto Zuberi Kabwe Rugambwa.Nje ya mada, hivi kweli ZITTO kamuoa halima bulembo? Dah yule Dada Mimi namuona mzuri (ukiachana na chama chake),zitto basi anaidi totoz ya Lumumbaa au washaachana?
Wajinga wapo wengi jf ni wakupuuzwa tu
Astakafiru! Kijana kuwa na adabu kwa mzee!Itabidi akapime DNA asijekuwa ni " mtoto mjukuu"
Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
Asante mkuuHalima Bulembo ni mke halali wa Zitto Zuberi Kabwe Rugambwa.
Najua unaelewa unaposikia Mke halali.
Una ushahidi? Weka hapa tuamini, kinyume na hapo utadhihirisha upumbavu wako tu!!!Ukishakuwa CCM ni lazima ukose akili, ni kama laana yaani! Mtu ameteka watu, amepoteza watu, amepiga watu risasi mchana kweupe,maiti zimeokotwa kwenye viroba, anatesa watu, anagandamiza uhuru wa kujieleza, kazi kubwa anayofanya ni kung'ang'ania kusifiwa for nothing. Halafu poyoyo unakuja hapa na kudai kuwa akifananishwa na wauaji wengine ni mzaha!Serious?!Nikisema kuwa wewe ni mpumbavu nitakuwa nimekuonea?
Hapana viti maalum ni kwa ajili ya wanawake tuKuteuliwa si ndo viti maalum hivyo vya Rais, namzungumzia huyo Bulembo baba mwenye kitambi
Ni mzazi mwenzake tuu, hawakuoana, zitto kwa siku za karibuni yuko bize kwa aliyekuwa shemeji Yake kabla vilivyonjombe haja rip.Halima tayari kashaolewa na zitto rasmi?
Akizingumza na kipindi cha Clouds 360 Bulembo amesema inyeshe mvua liwake jua ataweka kambi Kigoma kuhakikisha kuwa Zitto harudi tena Bungeni.
Ameahidi kutumia mafao yake kwa ajili hiyo.
Sijui Zitto Kabwe kama atagombea ubunge ama urais. Yote kwa yote Abdalah Bulembo kaamua
Pia soma > Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo
Asije akarudi bila mkono...!
kwenye kugombea udiwani 2010, Bulembo alitoa nyodo kama hizi.
matokeo? alibamizwa vibaya sana na graduand wa madrasa. aliugua pressure mwaka mzima!
namshauri aachane na haya mambo, umri ushaenda sana sasa, na pressure ikimwibukia tena inaweza isiwe na huruma ya 10 years ago.
Daah! Sijui kuna mtambo gani wa kuvuruga akili pale ccm,wewe fikilia Pole pole uliyekuwa unamjua,fikilia Bashiru uliyekuwa unamjua,fikilia Kabudi mwl wangu niliyekuwa namjua wote hawa Sasa hivi hawana tofauti na kibajaji,msukuma na mlinga.Ukishakuwa CCM ni lazima ukose akili, ni kama laana yaani! Mtu ameteka watu, amepoteza watu, amepiga watu risasi mchana kweupe,maiti zimeokotwa kwenye viroba, anatesa watu, anagandamiza uhuru wa kujieleza, kazi kubwa anayofanya ni kung'ang'ania kusifiwa for nothing. Halafu poyoyo unakuja hapa na kudai kuwa akifananishwa na wauaji wengine ni mzaha!Serious?!Nikisema kuwa wewe ni mpumbavu nitakuwa nimekuonea?
Bulembo ni chizi tu, kwn zitto kumzalisha binti yake ndo igeuke kuwa vita?? 2010 kwenye udiwani kata ya kijitonyama alishindwa na mgombea wa chadema, akaenda mahakamani lkn bado akapigwa vile vile, je atamuweza zitto ?? Aache kutapa tapa huyo mzee...kigoma ina wenyewe