Bulembo: Polepole ni Unyasi kaletwa CCM na kokoro, V8 ameijulia CCM, Bashiru alitoka CUF. Nataka Mdahalo na Polepole

Hahahah mda mwingine akina Bulembo wanasumbuliwa na udini pamoja na ujinga! Yaani anajidai alikuwa anampenda Magufuli kwani kutembea na Magufuli kama kampeni maneja ndo kuwa naupendo nae? Yaani ukimsikiliza ndo utajua kiwango chake cha ujinga!
Hamna aliyempenda Magu, ila ulilazimika kuwa nae, mteuliwa wa CCM unalazimika kumfanyia kampeni ukiwa mwanachama, hata usipompenda. Ila tatizo la Magu lilianza aliposhika madaraka si kabla, wengi tulimuunga mkono, lakini akatuona mafala!
 
Hahahaaaa....... huyu Bulembo alikuwa kampeni meneja wa Magufuli 2015.

Akapewa ubunge yeye na mwanawe Halima.

Zitto Kabwe akaingilia kati akaoa yule bint!
Daaah!
Akaona ili awe karibu na ccm bora asogeze kiunganishi 😃
 
Hahahaaaa....... huyu Bulembo alikuwa kampeni meneja wa Magufuli 2015.

Akapewa ubunge yeye na mwanawe Halima.

Zitto Kabwe akaingilia kati akaoa yule bint!
HALAFU BULEMBO AKAKASIRIKA AKAJENGA BIFU NA ZITTO. ZITTO NAKO KAKOMAAA ANAKULA TU MZIGO WA MTOTO WA BULEMBO.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Kumpa bashiru ukatibu mkuu ccm, ilikua big mistake kweli kweli...
 
Daah kweli Magufuli alitisha, hawa wazee walipigwa pini kali sana hakuna cha bulembo,makamba wala nani,saiv ndio wanajitokeza.
Ha ha ha, jamaa alikua na msimamamo, anateua wapinzani, anawapa uwaziri, uongozi chamani,, walioanza tangu chipukizi wanatupwa nje,, anateua wanyantuzu,, na hakuna mtu atakohoa,, ila at least alijitahidi kubalance dini... No wait... [emoji134][emoji134]
 
Upinzani upi?
Polepole anatosha
 
Sasa ni rasmi hali inazidi kuwa ni tete ndani ya ccm .

.Sitaki kumjibu Polepole, kwenye CCM ni mchanga, ni sawa sawa na mtoto wa darasa la kwanza anajibiwa na wa chuo kikuu.


. Polepole ni sawa na unyasi mkavu. Siku Polepole anaingia kwenye chama kujitangaza, alipewa nguo za CCM na Nape Nnauye- Abdallah Bulembo.
https://t.co/gXprhiWjM8
 
Huyu Polepole hawajui CCM vizuri, akamuulize Sabaya jela!! CCM wanachoangalia matumbo yao tu, siku likimpata la kumpata hao wanaomshabikia hatamuona hata mmoja, sana sana watakuwa wanamchagiza kwa ids fake mitandaoni
Sijui umetumia upande upi wa ubongo kufikiria....
Tuambie hapa kosa la Polepole.
Kwa maandishi yako inaonesha unakubaliana na Polepole ila una hofu yatampata yakumpata sababu ya ukweli wake.
Je ukiongea uongo utaishi milele?
 
Derby la nzi wa kijani ndani ya lumumba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…