johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa........ Zitto kamuweza sana Bulembo imebidi astaafu siasa!Mzee anazingua sasa.😂😂😂
Dingi anazingua.......hahahaaaa!Mzee kuna maisha baada ya siasa
Hahahaaaa....... Kwahiyo Bulembo kaonewa!Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co., zero morols, ni kama Wanyama tu, ...
Utakuwa ni uzao wa vichakani!sasa mbona wameishazaa
Kwa hio amekubali kwamba mwanae alichapwa na zittoMbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto Kabwe na familia imebariki.
Source Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!
Vichakani!Kwa hio amekubali kwamba mwanae alichapwa na zitto
Duh..... Wazee wa kiswahili noma sana!Acha Zitto ale mzigo.
Kutia ni kutia tu hata iwe kisimaniVichakani!