wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Amemgegeda mwanae bila ndomu
Haaaa haaa kumbe, ndio maana Bulembo hampendi Zitto, ndio naanza kuelewa, duh, haa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaa haaa kumbe, ndio maana Bulembo hampendi Zitto, ndio naanza kuelewa, duh, haa
Mkuu, ni kweli kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuwaoa? Mbona katika maisha halisi wanawake ndio hawapati wanaume wa kuolewa nao? Naona hapa umeweka kwa ghadhabu tu kama za mzee Bulembo... kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Nimecheka kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115]Nimeshangaa sana kama huyo ni mtu mzima anayeweza kuitwa baba.
Familia anaihusishaje na siasa tena za majitaka?...
Zile zinazofanywa zaidi gizani/usiku/nocturnal activities😅😅Waungwana naomba mnijuze starehe zinazofanywa vichakani ndiyo zipi hizo?
😂😂😂😂😂😂😂😂
Zile zinazofanywa zaidi gizani/usiku/nocturnal activities😅😅
Hahahahahah😂😂😂yahhh😂😂😂😂😂 zile za kubinuana siyo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zito kashatafna mtoto wa mzee Bulembo.Chezea mijitu ya ukawa w w!!Bado sijaelewa hizi comment,Kwan kuna nini
Mkuu, ni kweli kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuwaoa? Mbona katika maisha halisi wanawake ndio hawapati wanaume wa kuolewa nao? Naona hapa umeweka kwa ghadhabu tu kama za mzee Bulembo
Baharia Zitto sio mtu mzuri😅
Labda kazalia vichakani...sasa mbona wameishazaa
Kwa hio amekubali kwamba mwanae alichapwa na zitto