Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huu unyanyasaji unaofanyika hapa tz ni wa hatari zaidi kuliko hata wa huyo mmarekani mweusi, so ujumbe utafikishwa kwa katuni hii na zingine zinazogusa hisia ili ieleweke zaidi.View attachment 1482616
Hii katuni unayopenda kuitumia watu wenye akili wamemuomba mchoraji aombe msamaha kwasababu inatia pilipili kwenye kidonda kibichi cha unyanyasaji aliofanyiwa mwafrika mwenzetu huko marekani! Acha kuitumia kwenye siasa za maji taka za Afrika. Acha ujinga mkuu!
Nadhani uwezo wetu wa kujitambua ni mdogo. Tumefikia kushangilia mchoraji asiyejulikana hata ufahamu wake, asiyejua dunia iko ktk mood gani. Huwezi kutumia picha ya mtu aliyeinua dunia kudai haki kwa kifo chake ili kueleza ajenda mfu za kisiasa.
Mkuu wa nchi ya masokwe anaitwajeTanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Hahahaaaa........ Zitto kamuweza sana Bulembo imebidi astaafu siasa!
Inaonekana unajua vizuri, hiyo picha ya binti hapo alikuwa anaolewa na Nani? Au alishika tu cheti Cha dada yake?Zitto hajamuoa rasmi, hivyo ni sawa tu sio mkewe
Punguza jazbaNadhani uwezo wetu wa kujitambua ni mdogo. Tumefikia kushangilia mchoraji asiyejulikana hata ufahamu wake, asiyejua dunia iko ktk mood gani. Huwezi kutumia picha ya mtu aliyeinua dunia kudai haki kwa kifo chake ili kueleza ajenda mfu za kisiasa.
Tujaribu kuelewa, zaidi ya mchoraji bwege kama huyu. Amechora hivyo hivyo kwa Kenya na hakupata uungaji mkono. He is just a stupid cartoonist.
Kafaidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zitto kamlia mtoto mzee wa watu
Hata Jiwe alilalamika
Siyo kumuharibia, ni matunda ya malezi yake. Hawa watoto wanaingizwa kwenye siasa wakiwa hawajitambui na wazazi wanasifia. Unakuta katoto kanasifiwa eti kajanja, hakana aibu, kana akili ya kikubwa, n.k. Mtoto akishakuwa na sifa za aina hiyo huko mbeleni ni aibu tu!Huyo aliyeuliza swali ni mkuda sana,kamuharibia siku ya mzee wa watu😀😀😀
Tuongeleee mambo matamu na mtoto mzuri Halima hapa achana na kesiZitto,CCM na bulembo lao moja ukitaka kuamini angalia hukumu aliyopewa kwenye kijikesi chake cha juzi
Nani amekuambia ukiliwa Chumbani ndio unakuwa na thamani?Nimeshangaa sana kama huyo ni mtu mzima anayeweza kuitwa baba.
Familia anaihusishaje na siasa tena za majitaka?
Anaweza kudhani kamdhalilisha Zitto ila atakuwa kamdhalilisha sana binti yake na yeye mzee mwenyewe.
Ina maana Bulembo anazaa watoto cheap wanaoliwa hata vichakani ? Ina maana mwanae hana maadili mpaka anazalishiwa vichakani ?
Mzee kazingua sana hapa aisee