Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

View attachment 1482616
Hii katuni unayopenda kuitumia watu wenye akili wamemuomba mchoraji aombe msamaha kwasababu inatia pilipili kwenye kidonda kibichi cha unyanyasaji aliofanyiwa mwafrika mwenzetu huko marekani! Acha kuitumia kwenye siasa za maji taka za Afrika. Acha ujinga mkuu!
Sasa huu unyanyasaji unaofanyika hapa tz ni wa hatari zaidi kuliko hata wa huyo mmarekani mweusi, so ujumbe utafikishwa kwa katuni hii na zingine zinazogusa hisia ili ieleweke zaidi.
 
Nadhani uwezo wetu wa kujitambua ni mdogo. Tumefikia kushangilia mchoraji asiyejulikana hata ufahamu wake, asiyejua dunia iko ktk mood gani. Huwezi kutumia picha ya mtu aliyeinua dunia kudai haki kwa kifo chake ili kueleza ajenda mfu za kisiasa.

Tujaribu kuelewa, zaidi ya mchoraji bwege kama huyu. Amechora hivyo hivyo kwa Kenya na hakupata uungaji mkono. He is just a stupid cartoonist.
 
Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Mkuu wa nchi ya masokwe anaitwaje
 
Nadhani uwezo wetu wa kujitambua ni mdogo. Tumefikia kushangilia mchoraji asiyejulikana hata ufahamu wake, asiyejua dunia iko ktk mood gani. Huwezi kutumia picha ya mtu aliyeinua dunia kudai haki kwa kifo chake ili kueleza ajenda mfu za kisiasa.
Tujaribu kuelewa, zaidi ya mchoraji bwege kama huyu. Amechora hivyo hivyo kwa Kenya na hakupata uungaji mkono. He is just a stupid cartoonist.
Punguza jazba
Life is too short to panic in every situation
 
Daah kanichekesha 😀 😀 daah hawa ndiyo tunasema ni wazee wetu eti hazina ya taifa!
Watayamaliza kinyumbani!

Everyday is Saturday.......................😎
 
Huyo aliyeuliza swali ni mkuda sana, kamuharibia siku ya mzee wa watu😀😀😀
 
Unajua kuna watu wanadhani kuwa na upinzani ni jambo baya linalotakiwa kukomeshwa. Mtu anafikiri upinzani unatakiwa kufutika kabisa. Lakini ukiwailiza waungwana hawa: Membe, Lowasa , Sumaye.

Nape nk watakuhadithia umuhimu wa kuwa na upinzani. Nawashauri watz wenzangu;- msiwe na fikra za kuua upinzani.
 
Huyo aliyeuliza swali ni mkuda sana,kamuharibia siku ya mzee wa watu😀😀😀
Siyo kumuharibia, ni matunda ya malezi yake. Hawa watoto wanaingizwa kwenye siasa wakiwa hawajitambui na wazazi wanasifia. Unakuta katoto kanasifiwa eti kajanja, hakana aibu, kana akili ya kikubwa, n.k. Mtoto akishakuwa na sifa za aina hiyo huko mbeleni ni aibu tu!

Ofisi moja na baba, unapelekwa 'vichakani', ukitegemea nini ktk familia hiyo.
 
Nimeshangaa sana kama huyo ni mtu mzima anayeweza kuitwa baba.

Familia anaihusishaje na siasa tena za majitaka?

Anaweza kudhani kamdhalilisha Zitto ila atakuwa kamdhalilisha sana binti yake na yeye mzee mwenyewe.

Ina maana Bulembo anazaa watoto cheap wanaoliwa hata vichakani ? Ina maana mwanae hana maadili mpaka anazalishiwa vichakani ?

Mzee kazingua sana hapa aisee
Nani amekuambia ukiliwa Chumbani ndio unakuwa na thamani?
 
Halo wanabodi.

Nimezinasa tetesi Mahali kuwa Mheshimiwa Mbunge fulani wa kuteuliwa ndiye kikwazo ktk kuolewa mwanaye wa kike ambaye pia ni Mbunge ktk bunge la JMT.

Inadaiwa Mwami ambaye naye ni Mbunge kutoka chama pinzani amejitahidi kwenda kujitambulisha lakini Mzee kamwambia hataki kuuona uso wake nyumbani kwake sio Dar Wala Kagera.

Mwami ametumia hadi wazee wa Busara lakini Mheshimiwa kawafukuza kwake. Kaenda mbali kwa kumuelekeza bintiye akatize kabisa uhusiano na Mtu wa upande ule ulio kinzani na serikali japo wana mtoto.

Ktk zama hizi inashangaza bado kuna watu wanataka kuwapangia binti zao waolewe na watu gani. Kama hizi tetesi ni kweli basi kuna watu hawaupendi upinzani kutoka damuni ndani kabisa.
 
Back
Top Bottom