Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Mtoto mbichiii kazaliwa 1991 kabahatika kupata na ubunge baharia kamkamatia kichakani akamjaza mimba
Zitto kamshika pabaya mzee wawatu.
Screenshot_2017-08-29-21-56-03-1.jpg
 
Mtoto huyu hapa,mimi napiga mkia tu hata kama mshua wake aseme tunakutana makaburini.
IMG_20200618_213832_712.jpeg
 
Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Waislamu wanaruhusiwa kuwa na wake zaidi ya mmoja nao pia ni wanyama
 
Hivi kuna mgombea ccm anapata uongozi bila ushirik.... ndio maana nchi hii haiendelei na Kigoma ndio kabisa.
 
Zitto nae amezidi kuoa oa! Mpaka mke wa rafiki yake! Ndio maana sura inachubuka kila siku nakuota mapere kila leo! Yatakuwa ni ma UTI ya wanawake,
Anafakamia mno! Ndo maana mzee bulembo katoa povu.
 
Yaani binti anapigwa miti vichakani.na mzee mzima zitto .
Yaelekea zitto sio wa mcheso mcheso
 
Zitto nae amezidi kuoa oa! Mpaka mke wa rafiki yake! Ndio maana sura inachubuka kila siku nakuota mapere kila leo! Yatakuwa ni ma UTI ya wanawake,
Anafakamia mno! Ndo maana mzee bulembo katoa povu.
Mwenye binti hakosi mkwe!
 
Nimeshangaa sana kama huyo ni mtu mzima anayeweza kuitwa baba.

Familia anaihusishaje na siasa tena za majitaka?

Anaweza kudhani kamdhalilisha Zitto ila atakuwa kamdhalilisha sana binti yake na yeye mzee mwenyewe.

Ina maana Bulembo anazaa watoto cheap wanaoliwa hata vichakani ? Ina maana mwanae hana maadili mpaka anazalishiwa vichakani ?

Mzee kazingua sana hapa aisee
Sasa mzee darasa la 7 ataongea kitu gani cha maana,hata afikirii kabla ya kuongea.hili kabila la wajita ni zaidi ya matatizo.
 
Nauona mchezo mchafu kuelekea uchaguzi wa urais zaidi kuliko hilo suala LA mahusiano...
 
Back
Top Bottom