Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Kibwengu naona umerud machakani
 


Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.

Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.

Chanzo: Clouds tv

Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba

Maendeleo hayana vyama!

Ss alitaka wakafanyie chumbani kwake.Huyu mzee sumu
 
Kwa hivyo eisitii inaikandamiza sisiemu vichakani? Au sijaelewa...
 


Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.

Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.

Chanzo: Clouds tv

Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba

Maendeleo hayana vyama!

Mzee Bulembo hutaki mkwe? Mwenye kaka hakosi shemeji
 
Sio haupendi Upinzani
Mzee Bulembo anampenda sana binti yake na anatamani sana Bwana Zito ndo amuoe binti yake.
Lakini je anamuozeshaje binti yake kwa Zito ambaye yupo Upinzani?
Yaani kiufupi anaona kama hataeleweka uko ccm. Kwaiyo inabidi tu akaze ili alipe fadhila kwa Ubunge wa bure alopewa
Zitto hana mke kwani?
 
Mambo ya Mapenzi huwezi jua

Unaweza ukakuta zile Hotuba za kumsifia Magufuli anazotoaga Mh.Halima Bulembo basi kaandikiwa na Zitto Kabwe
Wewe Mzee, polepole hahahaaa. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
 
Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Dada kwema huko lumumba
FB_IMG_1592344272088.jpeg
 
Hakumaanisha vichaka hivyo mnavyovijua nyinyi ni kama tu ile lugha ya uliniokota jalalani
 
Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Ulitaka wakutafune weee?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] moyoni anawaza binti yangu umri unakimbia na biological clock is ticking na Zitto anafaidi vichakani nitaona hata mjukuu mie? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ZZK alishamzalisha HALIMA kisha akampiga na chini[emoji3]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom