Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Kwa hiyo ushindani wa vyama umegeuka uadui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajidhalilisha sanaSasa mzee darasa la 7 ataongea kitu gani cha maana,hata afikirii kabla ya kuongea.hili kabila la wajita ni zaidi ya matatizo.
Na ndivyo ilivyo bwashee!Mambo ya Mapenzi huwezi jua
Unaweza ukakuta zile Hotuba za kumsifia Magufuli anazotoaga Mh.Halima Bulembo basi kaandikiwa na Zitto Kabwe
Kibwengu naona umerud machakaniTanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.
Chanzo: Clouds tv
Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba
Maendeleo hayana vyama!
Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.
Chanzo: Clouds tv
Pia soma - Elections 2020 - Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba
Maendeleo hayana vyama!
Zitto hana mke kwani?Sio haupendi Upinzani
Mzee Bulembo anampenda sana binti yake na anatamani sana Bwana Zito ndo amuoe binti yake.
Lakini je anamuozeshaje binti yake kwa Zito ambaye yupo Upinzani?
Yaani kiufupi anaona kama hataeleweka uko ccm. Kwaiyo inabidi tu akaze ili alipe fadhila kwa Ubunge wa bure alopewa
Zitto ni mwislamu!Zitto hana mke kwani?
Zitto ni mwislamu!Zitto hana mke kwani?
Jibu swali langu mkuu hata mimi najua ni mwislamu!Zitto ni mwislamu!
Ana wake watatu Halima ni miongoni mwao!Jibu swali langu mkuu hata mimi najua ni mwislamu!
Ila Bulembo ana mtoto mzuri. Zito angechelewa kidogo yule jamaa aliyechukua form ya peke yake angelala nae mbele huyo mremboMzee Bulembo kakubali iendelee kibaharia tu.
View attachment 1482721
sasa mbona wameishazaa
Wewe Mzee, polepole hahahaaa. Hakuna mkate mgumu mbele ya chaiMambo ya Mapenzi huwezi jua
Unaweza ukakuta zile Hotuba za kumsifia Magufuli anazotoaga Mh.Halima Bulembo basi kaandikiwa na Zitto Kabwe
Dada kwema huko lumumbaTanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
Ulitaka wakutafune weee?Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
ZZK alishamzalisha HALIMA kisha akampiga na chini[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] moyoni anawaza binti yangu umri unakimbia na biological clock is ticking na Zitto anafaidi vichakani nitaona hata mjukuu mie? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]