Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je democracy imetufikisha huko Kama taifa?Sio haupendi Upinzani
Mzee Bulembo anampenda sana binti yake na anatamani sana Bwana Zito ndo amuoe binti yake.
Lakini je anamuozeshaje binti yake kwa Zito ambaye yupo Upinzani?
Yaani kiufupi anaona kama hataeleweka uko ccm. Kwaiyo inabidi tu akaze ili alipe fadhila kwa Ubunge wa bure alopewa
Swali langu kwako lilikuwa moja tu, Una elimu gani?Mimi nazungumzia juu ya haki za watu pamoja na uhuru wao halafu wewe unazungumzia mambo ya CCM na Chadema!! Una akili timamu?!
Na leo katangaza kwenda kumuondoa jimboni. Mambo ya aibu hayakwa ccm inawezekana
HAYO NI MAWAZO YA KICCMHalo wanabodi.
Nimezinasa tetesi Mahali kuwa Mheshimiwa Mbunge fulani wa kuteuliwa ndiye kikwazo ktk kuolewa mwanaye wa kike ambaye pia ni Mbunge ktk bunge la JMT...
Kama.ndio hivyo Basi ana Hali ngumu sana tumuonee hurumaSio haupendi Upinzani
Mzee Bulembo anampenda sana binti yake na anatamani sana Bwana Zito ndo amuoe binti yake.
Lakini je anamuozeshaje binti yake kwa Zito ambaye yupo Upinzani?
Yaani kiufupi anaona kama hataeleweka uko ccm. Kwaiyo inabidi tu akaze ili alipe fadhila kwa Ubunge wa bure alopewa
Kumtoa mkwe?!Na leo katangaza kwenda kumuondoa jimboni. Mambo ya aibu haya
😃😃😃😃Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
😃😃😃😃Kutia ni kutia tu hata iwe kisimani
Jmk ndio nani?@Zitto kagonga hodi mpaka kwa JMK,sembuse la saba Bulembo!!
Hahahaaaa...... Labda Zitto hajalipa mahali!Mtoto kama huyo Halima unaweze kumwache kweli akiingia kwenye 18 zako! Mzee Bulembo aselete mambo ya kizamani hapa. Yeye mbona anachapa watt wa wanaume wenzake hawamtolei pofu.
Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.
Chanzo: Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!
Wao wameamua kuongelea Clouds tv!Wakaongee chumbani aibu zao.