Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Sio haupendi Upinzani
Mzee Bulembo anampenda sana binti yake na anatamani sana Bwana Zito ndo amuoe binti yake.
Lakini je anamuozeshaje binti yake kwa Zito ambaye yupo Upinzani?
Yaani kiufupi anaona kama hataeleweka uko ccm. Kwaiyo inabidi tu akaze ili alipe fadhila kwa Ubunge wa bure alopewa
 
Sio haupendi Upinzani
Mzee Bulembo anampenda sana binti yake na anatamani sana Bwana Zito ndo amuoe binti yake.
Lakini je anamuozeshaje binti yake kwa Zito ambaye yupo Upinzani?
Yaani kiufupi anaona kama hataeleweka uko ccm. Kwaiyo inabidi tu akaze ili alipe fadhila kwa Ubunge wa bure alopewa
Je democracy imetufikisha huko Kama taifa?
 
Hapo roho inamuuma anawaona wapinzani kama ni mashetani huu ubaguzi upo kila sehemu,
Kuanzia kwenye dini, siasa, shule na taasisi nyingi sana.
 
Mtoto kama huyo Halima unaweze kumwache kweli akiingia kwenye 18 zako! Mzee Bulembo aselete mambo ya kizamani hapa. Yeye mbona anachapa watt wa wanaume wenzake hawamtolei pofu.
 
Sio haupendi Upinzani
Mzee Bulembo anampenda sana binti yake na anatamani sana Bwana Zito ndo amuoe binti yake.
Lakini je anamuozeshaje binti yake kwa Zito ambaye yupo Upinzani?
Yaani kiufupi anaona kama hataeleweka uko ccm. Kwaiyo inabidi tu akaze ili alipe fadhila kwa Ubunge wa bure alopewa
Kama.ndio hivyo Basi ana Hali ngumu sana tumuonee huruma

Asuburi 2025 atakuwa huru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ni pure jungle, Maisha ni rule of the jungle kama vile masokwe na Nyani wanavyoishi, ukitaka kuthibtisha kwamba asili ya Binadamu ni Masokwe na Nyani njoo Tanzania, Masokwe yenye nguvu ndiyo yanayochukuwa wanawake wote kwa kuwapiga masokwe dhaifu, hata Tanzania ni hivyo kuna wanaume wengi hawapati wanawake wa kuoa lkn wengine wanachukuwa wanawake wote ingawaje wameshaoa na wana familia, angalia Mbowe, Zito kabwe &Co. zero morals, ni kama Wanyama tu, ...
😃😃😃😃
 
Mtoto kama huyo Halima unaweze kumwache kweli akiingia kwenye 18 zako! Mzee Bulembo aselete mambo ya kizamani hapa. Yeye mbona anachapa watt wa wanaume wenzake hawamtolei pofu.
Hahahaaaa...... Labda Zitto hajalipa mahali!
 
Mzee Bulembo kakubali iendelee kibaharia tu.
Screenshot_2020-06-18-21-05-44.png
 
Nimekumbuka siku nimekula papuchi fulani mlimani game imeisha dem anlalamika kachubuka mgongo
 


Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.

Alhaj Bulembo alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa Clouds 360 aliyetaka kujua kama Halima Bulembo ni mke wa Zitto na familia imebariki.

Chanzo: Clouds tv

Maendeleo hayana vyama!


Wakaongee chumbani aibu zao.
 
Back
Top Bottom