Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya Mheshimiwa raisi kuvunja Bunge na wagombea mbali mbali kujitokeza kuchukua fomu za kugombea uraisi!hadi sasa kachero mbobezi Benard Membe hajajitokeza hadi sasa!kwani uko wapi?ulituahidi utanuka mbona harufu sisikii???Tupe matumaini kama upo mbioni au ndio basi tena!!kwa maana mwenyekiti ameshachukua fomu sisi wakulima wa korosho wa huku mtwara tunakusubiri kwa hali na mali tukuunge mkono!!!
kama kuna mwakilishi wake au yeye mwenyewe humu jukwaani aje atuambie kulikoni!ukimya wako unatutisha sisi ambao tunasubiria kunuka kwako tena kwa hamu ili tunuse!!!!!!Jitokeze!tuambie ili tuondoe duku duku letu!!
Ati form ilikuwa moja tu.f omu zimeisha
![]()
“Kwa mujibu wa sheria kama wewe ni mwana CCM, Rais anatakiwa awe katika vipi viwili sasa unatokea wapi kuchukua fomu? Unajadiliwa kikao gani?,” amesema Bulembo
Somo lipi?Bulembo ametoa somo zuri
Logic hawana,mgombeaji ni Mwenyekiti ambae ni Raisi ndie mtetezi huyo huyo wa kiti cha uraisi , angepitishwa bila drama kwa kuwa CCM hairuhusu kumshindanisha sitting president na mtia nia yeyote.Sasa kwa nini Magufuli achukue tena fomu, si angesubiri kuchukua fomu ya kugombea urais kutoka kwa Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi?
![]()
Aliyekuwa mbunge wa kuteuliwa, Abdallah Bulembo, amesema taratibu haziruhusu mwanachama mwingine kuchukua fomu ya kugombea urais zaidi ya John Magufuli.
“Kwa mujibu wa sheria kama wewe ni mwana CCM, Rais anatakiwa awe katika vipi viwili sasa unatokea wapi kuchukua fomu? Unajadiliwa kikao gani?,” amesema Bulembo
Bulembo amesema hataki kugombea licha ya kwamba anajua atashinda na kwamba haiwezekani nyumba nzima wawe wabunge.
“Nataka niondoke salama, mtoto wangu Halima yupo kwenye jimbo, mke wangu naye yupo kwenye jimbo anagombea Viti maalum, haiwezekani nyumba yote kuwa wabunge haileti picha nzuri,” amesema Bulembo.
Somo lipi?
Mkuu, hebu muwe mnatumia akili hata kidogo na kuacha propaganda na utapeli wa wazi. Hivi Membe anachukuaje fomu huko CCM ikiwa alifukuzwa uanachama na sasa si mwanachama wa CCM?
Tetesi zinadokeza kwamba tayari kishatua Dodoma , kesho saa 4 asubuhi anachukua fomu
MembeNani huyo bwashee.?
hawampi formu lakini akitaka kuleta timbwili anaweza kama hana barua kweliWatampa kweli ?mbona ataleta mpasuko
Membe
He! tena kwa hiyo mnaogopa nini wakati Mkuu anapendwa na wanaccm, ruhusuni watu wachukue form ili awaonyeshe kwamba ana pendwa kwa kuwagalagaza kabla hajakutana na upepo wa nje, hii pia inasaidia kumuongezea hamasa kuelekea uchaguzi mnao shauri hii mnampoteza sana Mgombea wenu