Uchaguzi 2020 Bulembo: Taratibu za CCM haziruhusu mwanachama mwingine kuchukua fomu ya kugombea urais zaidi ya John Magufuli

ingekuwa ni Chadema ndiyo wanafanya hivi MATAGA wote wangejitundika kwa hasira!
 
Kama ndo hivyo basi yesu angesubiri kuchukua fomu ya Nec ya uraisi kabisa na hasingechukua ya fomu ya chama
 
Katiba ya chama ndiyo yenye kusimamia haki ya kuwa mwanachama ama kiongozi ndani ya chama. Kanuni na taratibu za kuwa kiongozi huwekwa kupitia vifungu vyake. Kama katiba inatoa fursa hiyo, sasa nini kitakuwa chanzo cha kuogopa Mwenyekiti kushindanishwa na watia nia wengine?

Tumeshuhudia sifa luluki zikimwagwa juu yake ikiwa ndiye kama kiongozi wa kipekee kuwahi kutokea hapa nchini. Je! Hatuoni hii itakuwa ndiyo kete yake muhimu ktk kuwagalagaza washindani wenzake ktk kinyang'anyiro ndani ya chama na hatimaye ktk nafasi ya uraisi?
 
SUBIRI NGOMA MUTAICHEZA SOON... Ila hamtajua inapigwa wapi!


👊👊👊
 
Alikuwa Kiongozi wa chama Gani?Nyie Makarai mbona mnashindwa kuelewa
 
Ukichunguza sana utakuta uyu mzee ni hata shule hakuwahi kwenda
 
Atachukua form tu ingawa nasikia katibu anakimbia ofisi kama wale ma DED wanavyo kimbiaga wagombea wa cdm wakati wa kurudisha form kwenye chaguzi za marudio
Tena Bashiru aelewe hakuna Mwenye hati miliki na Chama ,so kama kweli anakimbia ofisi huko ni kukihabisha Chama ,magu si anapendwa na wanaccm ?wape watu form na ni haki yao kuchukua hata Mimi ningekua mwanachama ningechukua ,haya ya kusema kama ya bulembo eti anachukua magu form tu ni kutojielewa,maana magu Chama amekikuta,Bashiru Chama nae amekikuta hata hao wakina polepole na wataondoka watakiacha maana si Mali binafsi ya mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…