Uchaguzi 2020 Bulembo: Taratibu za CCM haziruhusu mwanachama mwingine kuchukua fomu ya kugombea urais zaidi ya John Magufuli

Ujumbe umefika mkuu labda watabadilika
 
Sio hivyo mkuu
Tuombe uhai 2025 uone watakavyochukua wengi
 
Katiba ya chama inasemaje nayo
 
Hujui kwamba Kuna kura za ndiyo na hapana? Wajumbe wakipiga hapana mchakato utaanza upya. Kumbuka hata chadema walimpa Sumaye ugombea pekee kule pwani lakini akapigiwa hapana nyiingi mchakato ukaanza upya.
 
Hujui kwamba Kuna kura za ndiyo na hapana? Wajumbe wakipiga hapana mchakato utaanza upya. Kumbuka hata chadema walimpa Sumaye ugombea pekee kule pwani lakini akapigiwa hapana nyiingi mchakato ukaanza upya.
Wakianza upya muda si rafiki,ni uzembe mkubwa kwa chama kikubwa na kikongwe.
 
Yaani chama kongwe mmeshindwa hata kuweka wagombea wa kupanga ili kuzuga watu.
Chama kongwe haliwezi kufanya Mambo ya kuzuga, kinafanya Mambo ambayo ni halisi, ya kuzuga fanyeni nyie watoto chadema muwazuge hao wasiojielewa.
 
Ni kautaratibu tu
Hakana madhara yeyote kwenye demokrasia
Natamani kila kitu nchi hii kingeendeshwa na kautaratibu badala ya sheria na regulations zake.
Unajua mtu yeyote awaye akitaka kufanya ya kwake anaanzisha kautaratibu nje ya mifumo rasmi. Ni sdhida sana kwa watu wa kawaida.
 
Chama kinaendeshwa kwa taratibu sio katiba? Wekeni huo uraratibu kwenye katiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…