Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Mama mwnyw kichwa iko shida, Sasa kwa level zake ku-ekti movie si Utopolo?Yaani hadi Mh. Rais aelewe kuna watu nyuma yake wanao mhujumu itakuwa too late!!!
Hivi ni mtalii gani ata kuja kwenye nchi yenye magaidi?
Tukisema Siro na genge lake wana mhujumu Mh. Rais wengine wana bisha. Ila kwa kweli Siro anatakiwa kuachia hiyo nafasi kwa heshima yake na heshima ya Taifa.
She is at decision making position ila ye anaona keshafika last point. Hili linchi bado Sana!