Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
KabisaKaja Mjini Na Gari Ya Taa Moja
Hii Bhaghosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaKaja Mjini Na Gari Ya Taa Moja
Hii Bhaghosha
Mbona Manji alikamatwa?Angekua chadema angeshakamatwa sasa
Mtu ana miaka zaidi ya 50 na hajawahi kuoa anakuwaje vizuri? Kwetu Bukoba mtu kama huyu akifa, tunamzika na shina la mgomba!Dotto Bulendu yupo vizuri sana
Wahaya mmelogwa na nani? kutwa kuwaza ngono pekee, maendeleo kwako ni ngono basi, mbona kuna watu kibao hawajaoa(mapadree na maaskofu)? acha ujinga waza maendeleo jombaMtu ana miaka zaidi ya 50 na hajawahi kuoa anakuwaje vizuri? Kwetu Bukoba mtu kama huyu akifa, tunamzika na shina la mgomba!
Bahati nzuri nilichoandika mimi kina ushahidi w sisi majirani zake. Wewe unaandika kwasababu ni nyumbu! Very different!!Na wewe ambaye huna marinda Bukoba wanakuzikaje?
Mapadre na Maaskofu hicho ni kiapo dogo! Anyway, ngoja nielekee zangu Igoma kwanza nikampokee Mama!Wahaya mmelogwa na nani? kutwa kuwaza ngono pekee, maendeleo kwako ni ngono basi, mbona kuna watu kibao hawajaoa(mapadree na maaskofu)? acha ujinga waza maendeleo jomba
Dingi akoMapadre na Maaskofu hicho ni kiapo dogo! Anyway, ngoja nielekee zangu Igoma kwanza nikampokee Mama!
Na Mohamed Yahaya kabla hajahama star tvWatangazaji Tz ni hawa 1. Dotto Bulendu 2. Aloyce Nyanda 3. Edwini Odemba
Huyo simjui kiongoziNa Mohamed Yahaya kabla hajahama star tv
Aibu ,ujinga na fedheha kwa taifa.Tunapokamata gaidi ina maana tupo makini
Marekani Mbona wanatangaza utalii na Kuna kesi za watu waliopo Guantanamo za ugaidi zinaendeleaTukiwa tunatangaza utalii, kesi ya ugaidi inanguruma mahakamani, je tutegemee nini?
Hao watalii watakujaje nchini kama juzi tu gaidi moja kawashambulia na kuwaua baadhi ya polisi wetu?
Gaidi huyo anayesemekana ni kada wa chama tawala, je tutawezaje kuwahakikishia watalii usalama wao?