Mama mwnyw kichwa iko shida, Sasa kwa level zake ku-ekti movie si Utopolo?Yaani hadi Mh. Rais aelewe kuna watu nyuma yake wanao mhujumu itakuwa too late!!!
Hivi ni mtalii gani ata kuja kwenye nchi yenye magaidi?
Tukisema Siro na genge lake wana mhujumu Mh. Rais wengine wana bisha. Ila kwa kweli Siro anatakiwa kuachia hiyo nafasi kwa heshima yake na heshima ya Taifa.
umesahau kuna corona na watu karibuni wataokotwa barabaraniAnaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Kwani ni uongo hakuna magaidi? Kule Kibiti walikuwa kina nani?Anaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Uelewa wako utakuwa unaishia hapo ulipo- lakini kwa mawada mapana-dunia ilishakubaliana hatutishwi na ugaidi- wafanye ila maisha yanaendelea.Hujui lolote kuhusu utalii. Na utalii haundeshwi kisiasa, jifunze kidogo ndiyo uwe unachangia mada
Aache kherehere ,ooh![emoji41]Watampa kesi ya uhujumu uchumi au ugaidi
Ukiwa nje ya ccm una akili sana tatizo ukiwa ndani sasa.Anaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Jamaa Yuko serious KABISA anachora zebra cross barabara ya Vumbi[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1921819
Ukiona Rais wetu mpendwa yeyote anahudhuria sherehe za kuapishwa Rais wa nchi nyingine ameongozana na Kibajaji Mshauri Mkuu anayejua kusoma na kuandika ujue kuna tatizo tena kubwa sana.Anaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Yaani wapo tayari kufanya,kuongea chochote mradi tu kinawasaidia kubaki madarakani bila kujali athari zake kwa taifa limekuwa kundi la walafi.Yaani katika serikali ambazo hazijielewi ni hii ya ccm. Full mvulugano
Ugerumani na ulaya kwa upana wake wana matukio ya kigaidi zaidi ya Tanzania, bado hatuwafikii kwa idadi ya watalii wanaoingia kwenye nchi zao. Acha woga.Anaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Hii ndio inawafanya waendelee kutawala dunia, division syndrome.
Nchi kwa sasa kila mkuu wa Taasisi yoyote ni rais wa nchi. Anaweza akaamua lolote hata kama ni la kishenzi na rais hawezi kureact.Anaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Ukishakua ccm akili inatoweka, kwa hiyo mama anamwaga maji kwenye guniaAnaandika Dotto Bulendu
Rais Samia yupo bize anarekodi "documentary"ya kuitangaza Tanzania kimataifa huku wasaidizi wake wapo bize kuuambia Ulimwengu Kuwa Tanzania kuna Magaidi. Branding or Debranding?Jadili.
Angekua chadema angeshakamatwa sasaWatampa kesi ya uhujumu uchumi au ugaidi
Hivi CCM inakulipa kwa kuandika chochote au kwa kuandika point?Achana na mwanaharakati Dotto Bulendu- wapi hakuna ugaidi hapa duniani? Mkumbushe kuwa msimamo wa dunia ni kuwa ugaidi usitutie hofu bali tuendelee kuishi maisha yetu ili nia ovu ya magaidi ya kututia hofu ishindwe. Ndiyo maana RJMT Samia anaendelea kuchapa kazi.
Kaja Mjini Na Gari Ya Taa MojaAkili za akina Siro amekulia Tarime kaja mjini na train kwa bahati atajulia wapi?