Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amenhuyu aliyeanzisha style ya kuua watu kwa kuwaweka kwa viroba...Mungu amlaani
Chanzo nini
Kafa au kauwawaAchana na siasa kwenye kila jambo mtoto. Mtu kafa we unaulizia alikuwa chama gani. Unataka ukampe kadi ya chama chako au?
Maskini,naimagine jinsi alivyoteseka kuchinjwa bila nganzi,Binadamu ni zaidi ya mnyama.Babu yangu aliniambia zamani ukiona Binadamu unapata moyo,siku hizi ni bora ukutane na Simba kuliko Binadamu mwenzako.
Like yangu ya kwanza leoFanya busara kidogo kwa kuigiza kama nawewe ni mtu timamu.
Unaharibu upepelezi kwa kuingiza siasa. Au wewe ndio muhusika hapa unafanya hivi kuwapotosha wapelelezi?
Mungu anazidi kuumbua mipango ya waovu na ile ya Jeshi la Polisi. Juzi wame tofautiana kauli. Leo hii nani atakua na imani na upelelezi utakaofanywa na jeshi la Polisi?Kuna watu walipatikana katika mtindo huo huo tukaambiwa ni wahamiaji haramu!
sasa huyu ana jina tusubiri kuambiwa kama kajiua iki kuketa taharuki au wauaji wa ndanu wamekopi mtindo wa disposal wa wale wanaowatelekeza wahamiaji haramu waluokufa ili kuketa taharuki,ama wasiojulikana kwa ujumla wake wanaendeleza wimbi la mauaji?
Na sijui katika pelelezi zao wamepata kugundua kama kesi zote zinawatendaji wa aina moja au ni isolated na hapo tuanze mbali ,mauaji ya Mawazo yule wa morogoro ,mvungi nk na kwenye utekaji
Kibanda ,roma,nondo ,masheikh nk.
Na waliopotea kote iangaliwe kama wahusika wanahusiana.
Weledi kama ule wa upelelezi wa Abdul Nondo?Nawaombea wapelelezi Mungu awape weledi waweze kuwatambua wauaji
Wawe na weledi kama wenzetu wazungu huwa wanatumia akili nyingi sana
Kila jambo lina mwisho,na damu ya mtu siku zote hurudi mauaji haya ya kinyama mwenyekiti wa kijani hajawahi kuongea au kukaripia wanaofanyahuyu aliyeanzisha style ya kuua watu kwa kuwaweka kwa viroba...Mungu amlaani
Lamadi sio mbali na geti la Serengeti. Maeneo hayo hayo. Unaweza kukuta huo mto umetokea Serengeti na Marehemu alitoswa mtoni huko Sererngeti.Daaa.., siku zote hizo ndo aonekane Leo Mtoni au walimshikilia kwa Muda kabla ya kuamua kumtoa uhai? Na je lilikotelekezwa gari lake na huko alikopatikana ni maeneo ya karibu ama maeneo mawili tofauti?
Maswali ni mengi sana kuliko majibu, apumzike panapostahili...,
Lini umesikia tamko la mkuu kuhusu maiti za viroba au mauaji yeyote akikemea toka ameingia madarakani,hawezi kuepuka hizi tuhuma watu wake ndio wahusika wakuuUsikute wamedhurumiana, matajiri wengi wana mambo tata sana katika biashara zao.