Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Nawaombea wapelelezi Mungu awape weledi waweze kuwatambua wauaji

Wawe na weledi kama wenzetu wazungu huwa wanatumia akili nyingi sana
Wetu hawana vifaa vya Kisasa ,wa nje ni sekunde tu maana wahalifu hawawezi shindana na teknologi,Kwa mifumo ya teknologi ya watu km FBI inawezekana,wanatrack location ya gari, wanafanya backup, na vitu vingine vingine then wanawadaka wahalifu.
 
Umeomba vzr lkn mwisho umeharibu kila kitu sala yako haijamfikia muhusika
 
Yaani huwa nasikitika sana nikisoma comments Za watu Kama hao. Inashangaza Sana kila mauaji ni wao,Yaani watanzania tumeshaingizwa kwenye michezo ya wanasiasa,kulaumu bila kuwa na ushahidi
Tumeshakua walevi wa siasa,badala ya kutumia akili,tunatumia siasa kutafakari kila jambo.
 
Toka kupotea kwake mpka kukutwa gari lake limechomwa moto wasiojulikana hawajawahi kusema lolote,hii awamu ndio wahusika na kiongozi wao hajawahi kusema lolote toka haya mauaji yameanza.
Mlimchagua wenyewe n kumsifia n kiongozi mwema kuwahi kutokea.kumbe ni kiongozi mwenye mikono iliyojaa rangi nyekundu,roho mbaya,visasi,kujifanya yeye ndio anaakili kuliko mtz yeyote
Na serikali imewakamata ndo maana kila kitu mnachanganya na siasa!

Visasi vipo dunia nzima, kuna wivu wa kibiashara, wake za watu, kudhurumiana, kuibiana, siasa nk.
Mambo haya yalikuwepo na yatakuwepo bila kujali nani yupo madarakani.

Mnapotaka kila jambo liwe ki siasa ndo nazidi kuona ujuaji usio na maana,
Kila taaluma mnaijua
 
Safari hii mnawaza kwa kutumia exhaust za makalio yenu,
Na serikali imewakamata kwenye makalio yenu ndo maana kila kitu mnachanganya na siasa!

Visasi vipo dunia nzima, kuna wivu wa kibiashara, wake za watu,kudhurumiana,kuibiana,siasa nk.
Mambo haya yalikuwepo na yatakuwepo bila kujali nani yupo madarakani.

Mnapotaka kila jambo liwe ki siasa ndo nazidi kuona ujuaji usio na maana,
Kila taaluma mnaijua pambaf sana.
Mkuu umeeleza vyema,wameshindwa kufanya siasa wamebakia kutafuta huruma kutoka kwa wananchi.Hawatafika mbali kwa sababu siasa zimewashinda
 
huyu aliyeanzisha style ya kuua watu kwa kuwaweka kwa viroba...Mungu amlaani
moto wao wa kuzimu ni wa tofauti..nafikiri wa kwao utakua wa mateso makali SANA
damu za hawa zitakua vichwani mwao wao na familia zao hadi watakapokufa
 
Hivi vyombo vya usalama vinafanya nini mbona haya matukio ya uhalifu yanazidi kuongezeka?
 
Mpelelezi ambae atapotoka kwa comments za huku JF nae lazima atakua mwanaCCM... maana si kwa ukilaza huo
Unafikiri kwanini kesi ikiwa inaendelea mahakamani au upelelezi ukiwa unaendelea haitakiwi kujadiliwa kwenye vyombo vya habari au ktk taasisi zingine tofauti na mahakama na vyombo vya uchunguzi?
 
Waziri alishasema wanaokufa sio watanzania.

He dont give a damn shit!

Rais kasema aiy fanya kazi asile na sipokula atakufa. Labda jamaa alikuwa hafanyi kazi, ndio maana akafa
Inasikitisha lakini nimejikuta nacheka tu.
Hawa viongozi na wenye mamlaka wanalipeleka Taifa letu kusikofaa.
 
Assumptions za nini kwenye taaluma zisizo wahusu?!. Subirini upelelezi ufanyike kwanza
Tangu pelelezi zimefanyika hatujapata majibu ya maana. Kilichopo ni kwa familia kujipa moyo na kusonga mbele.
Bwana aliyetoa ametwaa...
 
Ndio maana maandiko yanasisitiza kuwa, 'tutafute kwa bidii kuwa na amani na watu wote'... Angefanya hivyo, huenda haya yasingemtokea ndugu tajiri...
 
Back
Top Bottom