Kitumbua Mchanga
Member
- Aug 28, 2017
- 40
- 17
Mambo ya visasi? Njama? Au malipizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda sana kutumia masaburi ku-attack watu.Watu wa Mwanza wana roho za mbwa.
Mpelelezi ambae atapotoka kwa comments za huku JF nae lazima atakua mwanaCCM... maana si kwa ukilaza huoFanya busara kidogo kwa kuigiza kama nawewe ni mtu timamu.
Unaharibu upepelezi kwa kuingiza siasa. Au wewe ndio muhusika hapa unafanya hivi kuwapotosha wapelelezi?
Toka kupotea kwake mpka kukutwa gari lake limechomwa moto wasiojulikana hawajawahi kusema lolote,hii awamu ndio wahusika na kiongozi wao hajawahi kusema lolote toka haya mauaji yameanza.Maskini,naimagine jinsi alivyoteseka kuchinjwa bila nganzi,Binadamu ni zaidi ya mnyama.Babu yangu aliniambia zamani ukiona Binadamu unapata moyo,siku hizi ni bora ukutane na Simba kuliko Binadamu mwenzako.
Watu wa Mwanza wana roho za mbwa.
Huenda na ben saanane akawa marehemu kwa zile maiti zilizookotwa coco beach bila kutambuliwa wala kufanyiwa uchunguziHuo mwili baada ya wiki mbili wameutambua? Na mbona staili ni zile zile za watu walio kua wanafugwa kweny visandarus kweny Bahar ya hindi? Na huo MTO ndibaga usikute tuna share na mataifa mbalimbali ..ukute sio mwil Samson ni wa watu wa mataifa mengne kama ilivyokua bahari ya Hindi
Wanatumwa na boss wao hakuna jipya ht ikiwa chini ya RaisNinavyoona watu wanapoteza imani na polis na hali ikiendelea hivi wengi zaidi watapoteza imani hata na wanaoshabikia kwa sasa. Kitu cha kufanya ni kufumua mfumo wa uongozi. Wizara hii iwekwe chini ya rais km ilivyo Tamisemi. Waziri na IGP, sijui km wanajua majukumu yao kwani naona wamejaa ushabiki kuliko weledi
Hii style sasa ni common na inatumiwa sana na wasiojulikana