Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Kuna mambo pia tunafanya nyuma na kusahau kabisa,, tunaacha vidonda mioyoni kwa watu ,, hujui mtu anawaza nn mwishoe ndio huwa hivyo,,,, unaweza kuta ni kisas hata cha miaka 15 iliyoisha ,,

Hatuwez jua pia,,
ndio maana nikasema kuwa hatuko salama kwa sbabu kama tumefikia hatua yakutoana roho kama kuku tena wenyewe kwa wenyew kiasi hicho hapo kuna usalama gani mkuu...??
 
Hapo ndipo tunaona mambo ya ukweli yalivyo, kapotea mtu, mke, watoto, jamaa na marafiki wametoa taarifa marehemu kapatikana...
Sasa haya ya mitandaoni kwamba maiti zaokotwa baharini halafu ndugu kutokulalamika haingii akilini kabisa..
 
1. Dr. Mvungi(RIP)
2. Alfonce Mawazo(RIP)
3. Ben Saanane (hapa sijui)
4. Kibiti
5. Tundu Lissu (major one)
6. Roma (una bahati)
7. Diwani Hananasif (RIP)
8. Diwani Morogoro (RIP)
9. Azron (hapa sijui)
10.Nondo (una bahati)



bado tuko salama? achilia hao ambao hatuji hakuna anaejua ilikuwa je? Eeee Mungu tusaidie
 
Siasa hizi haiwezekani katika kipindi kama hiki wapotee
1.Wanasiasa
2.wanahabari
3.wakosoaji wa Serikali
then kirahisi rahisi tu useme
haya yatakua mambo ya kibiashara au Mapenzi

huyo mgeni aliesema angeenda naye nyumbani ndio wa kuanza nae
mimi sio mpelelezi
ila ushahidi wa kimazingira unaonyesha hivyo

watu wangapi wanatoa reports za kufuatiliwa na watu wasiojulikana na serikali inakaa kimya na then kinatokea kinachosemwa

'atakae husika na kifo changu kwao hatabaki hata Mende kwao' by Zzzzzzzzzzzzzz......... Kkkkkkkkkkkkkk
 
MWIII GULU alisema hajawahi kusikia watanzania wakilia na kuweka misiba kwa maiti zinazookotwa ufukweni kila kukicha. Kilio chake bila shaka kimepata majibu.
 
watu wasiojulikana
Msiwe na hofu kuwa hawatajulikana milele, utawala ukibadilika tuu wote watafahamika.
Wakati wa Hitler wauaji wa GESTAPO hawakuwa wakifahamika lakini baadae walifahamika hadi wengine walikuja kamatwa America ya kusini wakiwa wazee tayari.
Nasi tutawang'amua tuu siku moja kwani watatajana tuu
 
Hakuna añayejua ni mfuasi was chama gani, lakini Habari zilizopo alichangia vizuri tuu matibabu ya Lissu kama ambavyo wapo wa Chadema,CCM na vyama vingine walivyo changia


Ujasema ukweli


Swissme
 
Achana na siasa kwenye kila jambo mtoto. Mtu kafa we unaulizia alikuwa chama gani. Unataka ukampe kadi ya chama chako au?
hio ndio clue ya kufuta uvumi wa kifo cha kisiasa au kimaslahi. Daah common sense is no longer common
 
Wetu hawana vifaa vya Kisasa ,wa nje ni sekunde tu maana wahalifu hawawezi shindana na teknologi,Kwa mifumo ya teknologi ya watu km FBI inawezekana,wanatrack location ya gari, wanafanya backup, na vitu vingine vingine then wanawadaka wahalifu.
Hawa wa ki bongo wana intelligencia za kisiasa si kiuhalifu
 
Back
Top Bottom