21) Hiyo ya watu kuiba oesa na kula, sheria ya kuuwana tu wanaofanya ufosadi ikipitishwa, ufisadi utakoma.
Nawashangaa wananchi, wana ubavu wa kumuua mpaka kumchoma moto anaewaibia chupi au simu lakini hawana ubavu wa kuchoma moto wanaowaibia mabilioni.
Huo ndiyo ujinga wa Mtanzania.
Hilo la kodi ya flat rate, maana yqke analipia kipato chake. Anatumia nini kama hana kipato? Ni lazima kuna anapozipata.
Hiyo kodi iite vyovyoge utakavyo haijalishi. Iwe ya kichewa, ya miguu, ya kipato, Sito tatizo.