Tetesi: Bunge halitakuwa LIVE Juni 10 kupitia mkataba wa bandari

Tetesi: Bunge halitakuwa LIVE Juni 10 kupitia mkataba wa bandari

Kuna tetesi kuwa wabunge wa CCM wametoa shinikizo kwa Spika, Dk. Tulia kuhakikisha kikao cha kesho cha kupitisha azimio la kuuza bandari zote za Tanzania bara kwa Mwarabu hakionyeshwi LIVE kwenye Tv ili kuwanusuru kwa wananchi ambao wako kwenye taharuki kubwa.

Wabunge hao inasemekana wameomba pia waandishi wa habari wasiruhusiwe kuingia kwenye kikao cha kesho ili kuwezesha kupitisha azimio hilo bila kujulikana na wananchi ni mbunge gani alisema nini katika kuunga mkono azimio hilo.

Uamuzi huo wa wabunge umetajwa kuchochewa na mashinikizo makubwa waliyoyapata kutoka kwa wananchi ambao wamewapigia simu, kuwatumia ujumbe wa maandishi na kuwaandikia barua wabunge kuwa wakipitisha azimio hilo wasirudi majimboni wapitilize moja kwa moja Dubai.
Dua ya kuiombea nchi na kuliombea Bunge

“Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba Mbingu naDunia, umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu naMabunge ya Mataifa ili haki yako itendeke. Twakuomba, uibariki nchi yetu idumishe uhuru, umoja, haki na amani, umjalie Rais wetu hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaomshauri, wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara, sisi Wabunge wa Bunge hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na utupe uwezo wakujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa nchi yetu. Amina.
 
Kuna tetesi kuwa wabunge wa CCM wametoa shinikizo kwa Spika, Dk. Tulia kuhakikisha kikao cha kesho cha kupitisha azimio la kuuza bandari zote za Tanzania bara kwa Mwarabu hakionyeshwi LIVE kwenye Tv ili kuwanusuru kwa wananchi ambao wako kwenye taharuki kubwa.

Wabunge hao inasemekana wameomba pia waandishi wa habari wasiruhusiwe kuingia kwenye kikao cha kesho ili kuwezesha kupitisha azimio hilo bila kujulikana na wananchi ni mbunge gani alisema nini katika kuunga mkono azimio hilo.

Uamuzi huo wa wabunge umetajwa kuchochewa na mashinikizo makubwa waliyoyapata kutoka kwa wananchi ambao wamewapigia simu, kuwatumia ujumbe wa maandishi na kuwaandikia barua wabunge kuwa wakipitisha azimio hilo wasirudi majimboni wapitilize moja kwa moja Dubai.
Mbona ni mbinu za kitoto ,lisipokua live bila kujali nani ameongea au la wote watakua washirika, mbona ni simple tu,ni bora kuwa live ili tujue ni mbunge gani anajitenga na usaliti huu,
Japo wabunge wote ni ccm ila ili nijaribio kubwa kwao jua nani yupo na wananchi
 
Hawana haja ya kuogopa
Watz walishawahi kuambiwa ni bora wale nyasi ila ndege inunuliwe hawana shida
 
hii kitu na maoni yetu mitandaoni na redioni serikali ilikuwa imeshaamua na haikwepeki ndio mana unaona spika povu lamtoka

mtaniambia hiyo kesho azimio linakwenda kupitishwa bila kujali maoni ya wananchi
 
hii kitu na maoni yetu mitandaoni na redioni serikali ilikuwa imeshaamua na haikwepeki ndio mana unaona spika povu lamtoka

mtaniambia hiyo kesho azimio linakwenda kupitishwa bila kujali maoni ya wananchi
Dua ya kuiombea nchi na kuliombea Bunge

“Ewe MWENYEZI MUNGU Mtukufu, Muumba Mbingu naDunia, umeweka katika Dunia Serikali za Wanadamu naMabunge ya Mataifa ili haki yako itendeke. Twakuomba, uibariki nchi yetu idumishe uhuru, umoja, haki na amani, umjalie Rais wetu hekima, afya njema na maisha marefu ili pamoja na wanaomshauri, wadumishe utawala bora. Utuongezee hekima na busara, sisi Wabunge wa Bunge hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na utupe uwezo wakujadili kwa dhati, mambo yatakayoletwa mbele yetu leo, ili tufanye maamuzi sahihi yenye manufaa kwa watu wote na ustawi wa nchi yetu. Amina.
 
hii kitu na maoni yetu mitandaoni na redioni serikali ilikuwa imeshaamua na haikwepeki ndio mana unaona spika povu lamtoka

mtaniambia hiyo kesho azimio linakwenda kupitishwa bila kujali maoni ya wananchi
Wapitishe tu haina shida ila this time watajua hawajui , nawambia kama Mungu aishivyo , mtashangaa sana keep this
 
Yote haya yanafanyika swali ni moja tu, je tunadhibiti vipi haya mambo.

Watanzania ni wazuri mno kuchimba biti nyuma ya keyboard ila hatuna ujasiri wa kufanya maamuzi magumu.
 
Kuna tetesi kuwa wabunge wa CCM wametoa shinikizo kwa Spika, Dk. Tulia kuhakikisha kikao cha kesho cha kupitisha azimio la kuuza bandari zote za Tanzania bara kwa Mwarabu hakionyeshwi LIVE kwenye Tv ili kuwanusuru kwa wananchi ambao wako kwenye taharuki kubwa.

Wabunge hao inasemekana wameomba pia waandishi wa habari wasiruhusiwe kuingia kwenye kikao cha kesho ili kuwezesha kupitisha azimio hilo bila kujulikana na wananchi ni mbunge gani alisema nini katika kuunga mkono azimio hilo.

Uamuzi huo wa wabunge umetajwa kuchochewa na mashinikizo makubwa waliyoyapata kutoka kwa wananchi ambao wamewapigia simu, kuwatumia ujumbe wa maandishi na kuwaandikia barua wabunge kuwa wakipitisha azimio hilo wasirudi majimboni wapitilize moja kwa moja Dubai.
Why always working upon TETESI?
Hakuna kitu ambacho mimi nakichukia kama mtu kufanyia kazi RUMOURS!. Kwa mtu mwenye akili timamu, kwa mbali rumours zinatakiwa kum-trigger tu ili aweze kuanza kufanya utafiti na siyo kutoa comments au conclusion kama vile kuna taarifa ambazo tayari zimeshathibitishwa
 
Je wakisha pitisha azimio kimya kimya wako tayari kujiuzulu wote na kutuachia Mwarabu tuhangaike naye😂😂😂.
 
Bandari kubwa Afrika?

[emoji23][emoji23]
Jebel Ali Port
STOCK-DP-WORLD-JEBEL-ALI-PORT_18138efba14_large.jpg

Tazama mwenyewe hapo mzigo hauchukui masaa uko dukani.
 
Wanyarwanda sio wajinga kuikaribisha DPWorld.
 
Kesho Wanapitisha Mkataba Wenye Ugali Wao Na Mboga Zao
YAani Mambo Ya Hovyo Sana Ila Oops
Yote Yamekwisha Haya
IMG-20220725-WA0016.jpg
 
Hello wana jf.
Kama kichwa cha uzi kisemacho kuwa kuna tetesi kuwa bunge halitakuwa mubashara na waandishi wa habari watazuiliwa au kudhibitiwa ili wananchi wasijue linaloendelea bungeni.

Soma hapo chini
 

Attachments

  • IMG-20230609-WA0001.jpg
    IMG-20230609-WA0001.jpg
    76.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom