Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Inapendeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inaliwa kimasihara kama tunda la rikiboyBunge amenunua mwarabu lenyewe halina uwezo wa kufanya masuala
🤣🤣🤣🤣🤣walaiiiii safari ya Burundi inanihusu yaani tupumuliwe na mwarabu!!!Nchi inaliwa kimasihara kama tunda la rikiboy
Akina Msukuma wameitwa Dubai WAMEKAZWA wanerudi wamelegea na kumsifu mwarabu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]walaiiiii safari ya Burundi inanihusu yaani tupumuliwe na mwarabu!!!
Tutapambana tu ili tuwaoneKuna tetesi kuwa wabunge wa CCM wametoa shinikizo kwa Spika, Dk. Tulia kuhakikisha kikao cha kesho cha kupitisha azimio la kuuza bandari zote za Tanzania bara kwa Mwarabu hakionyeshwi LIVE kwenye Tv ili kuwanusuru kwa wananchi ambao wako kwenye taharuki kubwa.
Wabunge hao inasemekana wameomba pia waandishi wa habari wasiruhusiwe kuingia kwenye kikao cha kesho ili kuwezesha kupitisha azimio hilo bila kujulikana na wananchi ni mbunge gani alisema nini katika kuunga mkono azimio hilo.
Uamuzi huo wa wabunge umetajwa kuchochewa na mashinikizo makubwa waliyoyapata kutoka kwa wananchi ambao wamewapigia simu, kuwatumia ujumbe wa maandishi na kuwaandikia barua wabunge kuwa wakipitisha azimio hilo wasirudi majimboni wapitilize moja kwa moja Dubai.
Burundi haendi mtu tutabanana humu humu🤣🤣🤣🤣🤣walaiiiii safari ya Burundi inanihusu yaani tupumuliwe na mwarabu!!!