sema enzi za mwehuIfutwe tu
Yaani Bodi inagoma kuchunguzwa?!!
Enzi za Shujaa ingeshafutiliwa mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sema enzi za mwehuIfutwe tu
Yaani Bodi inagoma kuchunguzwa?!!
Enzi za Shujaa ingeshafutiliwa mbali
Kiboko ya Ufipa stsema enzi za mwehu
Labda ungeainisha ni vigezo vipi vitumike katika kutoa mikopo,ili malalamiko kama hayo yasiwepo.Bodi ya mkopo wana mambo ya ajabu sana, unaweza kuta mtoto kapewa boom tu halafu mwingine mwenye uwezo kapewa ada, Boom, book and stationary, special facat, field na research sasa unashindwa kuelewa wanatumia kigezo gani
Umenena kamanda. Ni kujiokosha tu hakuna zaidi.Hili "bunge" ambalo kimsingi ni kamati ya ccm linatafuta attention baada ya kuona watanzania wamewapuuza sana.
Blood suckerThe killer
Hapa suala siyo vigezo bali kuna ubaguzi na upendeleo katika kutoa mikopo!Labda ungeainisha ni vigezo vipi vitumike katika kutoa mikopo,ili malalamiko kama hayo yasiwepo.
Sina hakika na hizo tuhuma zako, nachokiona mimi, ufanisi wa bodi hauwezi kuwa wa kuridhisha kwa fungu wanalopewa kwa ajili ya kukopesha.Hapa suala siyo vigezo bali kuna ubaguzi na upendeleo katika kutoa mikopo!
acha kuweweseka weweAwamu ya watu unanijua Mimi nani imerudi.wamepata nguvu ya kukataa kuhojiwa sababu ni awamu legelege
Sasa kumbe una majibu yako! Yaweke hadharani yajadiliwe.Sina hakika na hizo tuhuma zako, nachokiona mimi, ufanisi wa bodi hauwezi kuwa wa kuridhisha kwa fungu wanalopewa kwa ajili ya kukopesha.
Sina majibu yangu, nazungumzia ufanisi na uhalisia. Nyingine ni porojo tu.Sasa kumbe una majibu yako! Yaweke hadharani yajadiliwe.
Ifutwe tu
Yaani Bodi inagoma kuchunguzwa?!!
Enzi za Shujaa ingeshafutiliwa mbali
Nadhani definitions za needy na eligible ndizo zinazotumika na Bodi ya mikopo kufanya ubaguzi na upendeleo vinginevyo kusingekuwa na matatizo yaliyopo.Sina majibu yangu, nazungumzia ufanisi na uhalisia. Nyingine ni porojo tu.
Azimio lipite, wanafunzi wote wapate mikopo, bodi wapate fungu kukidhi watu waombaji wote.
Katika Act inayoongoza shughuli za board hakuna msamiati "needy student", msamiati uliopo ni "eligible students"
Hii hali kwa mfano, ya kutoa fungu la kukopesha wanafunzi 30,000 huku waonbaji wakiwa 50,000 lazima ilete malalamiko.
Uzuri wake alisema tumkumbuke kwa mazuri. Poleni watanzaniaIfutwe tu
Yaani Bodi inagoma kuchunguzwa?!!
Enzi za Shujaa ingeshafutiliwa mbali
Alisuck monthly blood yako nn?Blood sucker
Tetesi: - Afisa Elimu Sekondari Moshi Manispaa amuweka lokapu Mwalimu wa idara ya Elimu Msingi kisa Mwalimu kuuliza barua ya kazi maalum haina siku maalumSpika Dkt. Tulia Ackson ameitaka Bodi ya Mikopo (HESLB) kufika Bungeni kujibu tuhuma za kugomea Uchunguzi wa Kamati iliyoundwa na Waziri wa Elimu Profesa Adolf Mkenda.
Prof. Mkenda ameituhumu HESLB kukataa kutoa ushirikiano na taarifa kwa Kamati yake kuhusu uwepo wa upendeleo wa utoaji Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu.
Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii itaihoji Bodi ya Mikopo Ijumaa Novemba 4, 2022 Bungeni jijini Dodoma.