Hii sasa waitolee ufafanuzi, kama mtu ni mgonjwa na siku hiyo hakufika atahesabika ni mfanyakazi hewa? Vipi waliopo masomoni?Mshahara haujaongezwa. Ila kuna national pay day(kuckulia dirishani mshahara). Itakuwa suprise, ucpokuwepo ck hyo imekula kwako unahesabika mtumishi hewa.
nawapongeza chadema kwa kutoa bajeti in advance...... ni learning tool
Hata wakisema CCM hawawezi kutekeleza
Duh!! dada una bidii ya kujibu ili thread yako iendelee. Big upword man..
Chadema ni kama mwanamke mjamzito akifanyiwa zuri kwake karaha akifanyiwa baya ndio tabu! Sasa mnataka Serikali ipuuze kila linalosemwa na Upinzani!
Nilipo hapa naangalia uchambuzi wa budget kupitia ITV. Inaelekea huyu mtaalam anayehojiwa hajui Kiswahili vizuri. Je kama si Mtanzania, tumekosa wataalam wa Kitanzania wanaoweza kujieleza kwa ufanisi?
Duh!! dada una bidii ya kujibu ili thread yako iendelee. Big up