Bunge la Kenya lapitisha sheria kwamba nyumba zote zitakazojengwa ziwe na mfumo wa kusambaza gesi

Bunge la Kenya lapitisha sheria kwamba nyumba zote zitakazojengwa ziwe na mfumo wa kusambaza gesi

Hawa ndio watu serious kwenye masuala ya miundombinu na maendeleo ya matumizi ya gesi asilia hata kama hawazalishi gesi hiyo!

Tanzania pamoja na kuwa na gesi nyingi hatujaweza kuisambaza hata Dar ambapo tayari mabomba kutoka Songosongo yalishawekwa zamani.

Ni hawa akina Rostam tulioshindwa kuwatumia hapa kwetu wanatumika Kenya!

Kenyans will now be required to install Liquified Petroleum Gas (LPG) pipes and taps, all of which should be incorporated in building designs before approval, following cabinet resolutions passed on Monday.
Nilijua tu ROSTAM AZIZI alipo wekeza kenya ni lazima awaingizie ufisadi wake serikali....wako watu wanadhani Rostam azizi ni mfanyabiashara ..huyo ni fisadi wa kiserikali na kimifumo ya kiserikali.

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Hawa hawana gesi Ila Samia alipoingia madarakani wakamwalika haraka wakasaini mkataba wa bomba la gesi. TPDC wameweka gesi kwenye nyumba zao badala ya kusambaza majumbani.
 
Hawa ndio watu serious kwenye masuala ya miundombinu na maendeleo ya matumizi ya gesi asilia hata kama hawazalishi gesi hiyo!

Tanzania pamoja na kuwa na gesi nyingi hatujaweza kuisambaza hata Dar ambapo tayari mabomba kutoka Songosongo yalishawekwa zamani.

Ni hawa akina Rostam tulioshindwa kuwatumia hapa kwetu wanatumika Kenya!

Kenyans will now be required to install Liquified Petroleum Gas (LPG) pipes and taps, all of which should be incorporated in building designs before approval, following cabinet resolutions passed on Monday.
Hizi ni mbwembwe za Bwanyenye.
Kiuhalisia hali ni tofauti sana.
Yaani ule utiriri wa nyumba (vibanda vya mbwa) za kule Kibera (Nairobi) ambazo hazina hata vyoo, huo muundo wa kufungwa gas pipe unaanzia wapi?
 
Kenya hawakumbatii masikini

Tanzania inakumbatia na kutukuza masikini na umasikini
 
Hata Kibera itawekewa mfumo wa gesi? Hakuna vyoo wanakimbilia mfumo wa gesi.
 
iza bro. i feel your pain.
Huyo jamaa ammjui serikali yenu anaweza kuiambia wapige marufuku mafuta ya taa na mkaa bila kujali uwezo wa wananchi ili tu gesi yake inunuliwe...ksma hapa tz kakwamisha mwabwa la umeme ili biashara yake ya gesi na kuuza umeme wa gesi ifanikiwe ni muhuni haswa

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Kenya hawakumbatii masikini

Tanzania inakumbatia na kutukuza masikini na umasikini
Hili nchi iendelee Masikini inatakiwa wainuliwe siyo kutelekezwa ...hivyo ndivyo china ilivyo fanya na kufanikiwa kiuchumi kwa haraka

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Huyo jamaa ammjui serikali yenu anaweza kuiambia wapige marufuku mafuta ya taa na mkaa bila kujali uwezo wa wananchi ili tu gesi yake inunuliwe...ksma hapa tz kakwamisha mwabwa la umeme ili biashara yake ya gesi na kuuza umeme wa gesi ifanikiwe ni muhuni haswa

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
hao wahuni ndio tunaotaka
 
Hizi ni mbwembwe za Bwanyenye.
Kiuhalisia hali ni tofauti sana.
Yaani ule utiriri wa nyumba (vibanda vya mbwa) za kule Kibera (Nairobi) ambazo hazina hata vyoo, huo muundo wa kufungwa gas pipe unaanzia wapi?
Unaijua Nairobi au ni Kibera tu ulipoishi?
 
Back
Top Bottom