Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok

Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok

Douyin na TikTok ni the same utofauti ni ipi product ya global na ipi ya mainland.

Douyin imekuwa mainland muda mrefu hata kabla TikTok kuanzishwa.
Utofauti ni mkubwa sana hasa kwenye maudhui.

Wanaotumia Douyin, hawajui kinachoendelea kwenye TikTok. Hata zile accounts maarufu za kimataifa kwenye TikTok ukizitafuta Douyin huzipati ng'o!

Ndio maana nikasema, Wachina wanatumia mfumo wao tofauti unaofanana na TikTok ambao umedhibitiwa kikamilifu na serikali.
 
Bado haujaelewa nilichoandika

Nenda kasome tena na Plaza Accord unaweza angalau ukaanza kupata mwanga
Tatizo wewe unaungaunga mambo kuhalalisha maneno yako yasiyo na ukweli. Umedai kuwa Marekani waliilazimisha Toshiba kutoa blueprints za Microprocessors zake wakazipeleka Intel. Nimekuonyesha kuwa Intel alikuwa mbele sana kwenye industry ya microprocessors wala Toshiba hakufua dafu. Baada ya hapo unaanza kuleta redio za Toshiba na mambo mengine yasiyohusiana na microprocessors. Radio ni teknologia iliyokuwapo tangu enzi za valves tangia vipindi vya Morse code, haikutika Toshiba. Na hata Transistor za kwanza zilitengenezwa na akina Shockley na timu yake hapo Bell Labs huko Marekani, siyo Toshiba.
 
Si ndo hapo akifanya Marekani iwe nongwa
Kuna watu hawafahamu, hivi vikampuni vinakusanya taarifa nyingi sana na nyeti, unapoviruhusu hujui nini kina ibwa nini kipo salama.

Wenzetu technologia yao iko juu na ufahamu wa mambo uko juu, hapa kwetu sisi ni vichekesho na sefie tu hakuna kingine, hatuwezi hata kuelewa.

Na pia labda hatuna cha kupoteza hivyo kila kitu sawa tu.
 
akili zako kisoda , nenda tiktok hlf mtukane biden kisha comment nyngne mtukane Shin Jinping uone ipi itafutwa na ipi itaachwa , Tiktok ni ant america app , acha waamerika wajiimarishie usalama wao , Nyie gaweni nchi zenu si mmekosa akili
Hakuna unachojua mbuzi wewe tiktok ni mtandao wa nchi gani? Na unajua kwanini mbaya wanazifuta? Toa maelezo msingi kwanza sio kuvamia vamia watu rudi shule kwanza.
 
chuki tu ya kiuchumi hawa marekani hawajawahi kusupport mafanikio ya yanayohusiana na china zaidi ya kuwaletea vikwazo kwa kila jambo.
Unafahamu soko kubwa la bidhaa za China ni nchi gani au wewe ndio walewale wa madrasa.
 
Unafahamu soko kubwa la bidhaa za China ni nchi gani au wewe ndio walewale wa madrasa.
Mwendawazimu mwingne tena huyu hapa haya marekani si ndio? Weka bando ujifunze tena kusoma soma kondoo wewe
 
Wachangiaji wengi wanachangia hii mada ila kiukweli hakuna wanachokijua kiundani kuhusu hizi mambo
 
Ngoja iwe hivyo. China eti hata nyundo tu wanashindwa kutengeneza, tunafanya kazi ya ukandarasi kwenye site moja na ktk miezi miwili tu nyundo zao 11 zimeshakatika mipini. China bure kabisa.

Kwenye migodi mingi wamepiga marufuku zana zao kama Water Pump, Generator, Concrete Mixer nk kutumiwa kwa sababu za kiusalama kwani waga zinalipuka tu hovyo na kuhatarisha usalama wa watu.
 
Back
Top Bottom