Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok

Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok

Bado unahitaji kuongeza ujuzi mkuu.

Unajua kuwa miaka ya 1980 Japan ndio iliyokuwa kinara wa kutengeneza semiconductors duniani zenye ubora wa hali ya juu na kulitawala soko la dunia?

Hivi kwamba makampuni ya Marekani yalikuwa yanakaribia kufa?

Kasome hizi mbinu 4 makampuni ya kutengeneza semiconductors ya Marekani na serikali ya Marekani yalitumia kuiangusha Japan

●The adopting Japanese manufacturing approaches in semiconductor

●The dumping petition

●The rising value of the yen

●The lawsuit for intellectual property infringement

Ukitoka hapo ndio uje sasa tufanye discussion kwa kina
Basi huna uhakika na unaloongea bali unaweza kuwa unakumbuka historia ya electronics ya Japan iliyovuma sana miaka ya 80 kwenye intertainment industry ukajiaminisha kuywa huwa ndio ulikuwa mwanzo wa electronic processors jambo ambalo siyo kweli.

Intellectual property inahitaji kuhifadhiwa, siyo mtu unakuja una clone kazi ambayo mwenzio aliwekeza raslimali zake na muda mrefu ukitegemea upate faida kirahisi tu. Inawezekana Toshiba wali-clone Zilog80 bila kibali cha Zilog wenyewe hivyo sheria ikachukua mkondo wake.

Hata Toshiba wenyewe hawaclaim credit yoyote kwenye uvumbuzi wa Microprocessors bali wanasema credits zote zieendee Intel. Hata hivyo kabla ya Intel, mtu wa kwanza kujishughulisha na utengezaji wa microrocessrs ni Dr Jack Kilby (JK) wa Trexas Instruments aliyestabilize SR Flip Flops na kuzita JK (Jack Kilby) Flip flops. Kwa hiyo root source in TI kabla ya Intel haijaifikisha practical level.

1710437781366.png
 
Basi huna uhakika na unaloongea bali unaweza kuwa unakumbuka historia ya electronics ya Japan iliyovuma sana miaka ya 80 kwenye intertainment industry ukajiaminisha kuywa huwa ndio ulikuwa mwanzo wa electronic processors jambo ambalo siyo kweli.

Intellectual property inahitaji kuhifadhiwa, siyo mtu unakuja una clone kazi ambayo mwenzio aliwekeza raslimali zake na muda mrefu ukitegemea upate faida kirahisi tu. Inawezekana Toshiba wali-clone Zilog80 bila kibali cha Zilog wenyewe hivyo sheria ikachukua mkondo wake.

Hata Toshiba wenyewe hawaclaim credit yoyote kwenye uvumbuzi wa Microprocessors bali wanasema credits zote zieendee Intel. Hata hivyo kabla ya Intel, mtu wa kwanza kujishughulisha na utengezaji wa microrocessrs ni Dr Jack Kilby (JK) wa Trexas Instruments aliyestabilize SR Flip Flops na kuzita JK (Jack Kilby) Flip flops. Kwa hiyo root source in TI kabla ya Intel haijaifikisha practical level.

View attachment 2934490
Bado haujaelewa nilichoandika

Nenda kasome tena na Plaza Accord unaweza angalau ukaanza kupata mwanga
 
Ni ushindani wa kibiashara tu
Wameona YouTube imepigwa bao na TikTok
Maybe yawezekana, ila sisi ma old school ukituambia tiktok over youtube ni sawa na umefuta historia nzuri zote za zamani, kuanzia nyimbo mpaka ma documentary.
 
nenda tiktok kamkosoe rais wa china kwa english , km comment yako ikisurvive dk 2 njoo nkupe yako
Kwahio sababu China wanafanya hivyo ndio USA ifanye inachofanya ? Ofcourse ByteDance ni Kampuni tishio sana its a conglomerate yenye mpaka usaidizi wa Serikali mwisho wa siku, Youtube, Whatsapp, Facebook n.k. in terms of stability na core users haiwezi kuwafikia kwahio its easy for these companies to lobby against ByteDance...., Kwahio Propaganda za kuiba siri na ku-sway watu its a old American trick kama enzi za Ukomunist na kuipinga Russia...

Mwisho wa siku ndio maana kila siku nasema usaidizi wa State katika Kampuni kubwa unasaidia sana uliza hata Samsung inapewa back-up kiasi gani na Government yao;
 
Kwahio sababu China wanafanya hivyo ndio USA ifanye inachofanya ? Ofcourse ByteDance ni Kampuni tishio sana its a conglomerate yenye mpaka usaidizi wa Serikali mwisho wa siku, Youtube, Whatsapp, Facebook n.k. in terms of stability na core users haiwezi kuwafikia kwahio its easy for these companies to lobby against ByteDance...., Kwahio Propaganda za kuiba siri na ku-sway watu its a old American trick kama enzi za Ukomunist na kuipinga Russia...

Mwisho wa siku ndio maana kila siku nasema usaidizi wa State katika Kampuni kubwa unasaidia sana uliza hata Samsung inapewa back-up kiasi gani na Government yao;
Nakumbuka Boss wa Samsung alikuwa Pardoned na serikali ya SK ili arejee kwenye majukumu yake ili kuboost uchumi wa nchi!
 
Maybe yawezekana, ila sisi ma old school ukituambia tiktok over youtube ni sawa na umefuta historia nzuri zote za zamani, kuanzia nyimbo mpaka ma documentary.
Hapa issue sio Tiktok wala sio Youtube ni issue ni ByteDance na Google kama vile ilivyo Whatsapp sio tishio per se bali ni Facebook (Meta) Yaani the giants behind na mpaka sasa Google ni balaa in terms of its hold.., lakini ByteDance might be a threat..., Na dunia ya sasa unaweza leo ukawa juu kesho unaamka obsolute...
 
Nakumbuka Boss wa Samsung alikuwa Pardoned na serikali ya SK ili arejee kwenye majukumu yake ili kuboost uchumi wa nchi!
Samsung wanapewa Tenda balaa huko, sisi tunaijua Samsung sababu ya Simu ila ni Conglomerate

Samsung has a powerful influence on South Korea's economic development, politics, media and culture and has been a major driving force behind the "Miracle on the Han River".[53][54] Its affiliate companies produce around a fifth of South Korea's total exports.[55] Samsung's revenue was equal to 22.4% of South Korea's $1.67 trillion GDP in 2022.[56]

"You can even say the Samsung chairman is more powerful than the President of South Korea. [South] Korean people have come to think of Samsung as invincible and above the law", said Woo Suk-hoon, host of a popular economics podcast in a Washington Post article headlined "In South Korea, the Republic of Samsung", published on 9 December 2012. Critics claimed that Samsung knocked out smaller businesses, limiting choices for South Korean consumers and sometimes colluded with fellow giants to fix prices while bullying those who investigate. Lee Jung-hee, a South Korean presidential candidate, said in a debate, "Samsung has the government in its hands. Samsung manages the legal world, the press, the academics and bureaucracy".[57]

 
Kwenye hili, Mchina anaonjeshwa dawa chungu aliyoitengeneza yeye mwenyewe miaka kadhaa iliyopita. Waingereza wana msemo unasema: A taste of their own medicine!

Mchina ndiye aliyeanza kufungia mitandao ya kijamii ya nchi za magharibi hasa Marekani kupitia kile kinachofahamika kama the Great Firewall of China. Sasa, kibao kimegeuzwa!

Hawa TikTok nao wana mkosi karibu dunia nzima. Hata China yenyewe imeifungia TikTok. Wachina wanatumia mfumo wao tofauti unaofanana na TikTok ambao umedhibitiwa kikamilifu na serikali. Wanauita Douyin.
 
Kwenye hili, Mchina anaonjeshwa dawa chungu aliyoitengeneza yeye mwenyewe miaka kadhaa iliyopita. Waingereza wana msemo unasema: A taste of their own medicine!

Mchina ndiye aliyeanza kufungia mitandao ya kijamii ya nchi za magharibi hasa Marekani kupitia kile kinachofahamika kama the Great Firewall of China. Sasa, kibao kimegeuzwa!

Hawa TikTok nao wana mkosi karibu dunia nzima. Hata China yenyewe imeifungia TikTok. Wachina wanatumia mfumo wao tofauti unaofanana na TikTok ambao umedhibitiwa kikamilifu na serikali. Wanauita Douyin.
Douyin na TikTok ni the same utofauti ni ipi product ya global na ipi ya mainland.

Douyin imekuwa mainland muda mrefu hata kabla TikTok kuanzishwa.
 
Marekani wako sawa, mbona china imezuia Mitandao ya kimarekani, ila wao kupigwa ban ndio iwe nongwa…wafurumushwe tu, tena wamecheleweshwa.
Hiyo TikTok hata ndani ya China yenyewe imepigwa ban. Ni sawa na zile bidhaa zenye chapa ya "for export only".

Yeye mwenyewe [Mchina] anafahamu madhara yake.
 
Kwenye hili, Mchina anaonjeshwa dawa chungu aliyoitengeneza yeye mwenyewe miaka kadhaa iliyopita. Waingereza wana msemo unasema: A taste of their own medicine!

Mchina ndiye aliyeanza kufungia mitandao ya kijamii ya nchi za magharibi hasa Marekani kupitia kile kinachofahamika kama the Great Firewall of China. Sasa, kibao kimegeuzwa!

Hawa TikTok nao wana mkosi karibu dunia nzima. Hata China yenyewe imeifungia TikTok. Wachina wanatumia mfumo wao tofauti unaofanana na TikTok ambao umedhibitiwa kikamilifu na serikali. Wanauita Douyin.
Sheria ilizitaka kampuni za kimitandao za kimarekani kufungua vituo vya data China na sio nje ya China na hata TikTok matakwa ya mwanzo ya marekani yalihiitaji TikTok kufungua kituo cha data za watumiaji wa kimarekani nchini marekani na ndicho TikTok walifanya kwa kufungua kituo Texas.

Ila sasa sheria mpya inawalazimu kuuza umiliki wote wa mtandao kwa marekani bila hivyo utafungiwa
 
Back
Top Bottom