Watanzania walifungiwa masaa 72 wakasema kulikuwa hakuna Free speech.
Kwamba mambo ya Wananchi yaamliwe na Wananchi
Nani amewaamulia Wananchi wa Marekani kama sio wanasiasa. Yaani watu karibia milioni mia mbili! Waamuliwe na watu wachache wenye madaraka.
Nadhani wanafanya haya mpaka pale Uchaguzi utakapoisha.? Republicans hatari sana, wanatumia njia zote kuzima sauti za wapinzani wao
Kwa mtazamo mwingine, huu ni Ujambazi. Kwamba ukiwa sio MMAREKANI na ukawa na kampuni au App inayoshindana na matajiri wa Kimarekani, unadondokewa kama mwewe(Eagle hapa) na genge la Serikali. Halafu tukisema tuna vita ya Kiuchumi watu wanatoa mapovu na kushupaza shingo, or Demokrasia, oh Free market. My foot. Kuna Free marke na uamuzi huo?
Aha, hoja yao ni Usalama wa raia na Taifa.
Yale masaa 72 nayo yalikuwa ni kwa Usalama wa Nchi, raia -Taifa..... Itoshe, makampuni au platforms zilizofungiwa(internet) zilikuwa ni za Wageni kama ilivyo tick toku ni ya wageni kwa Wamarekani.
Liwe fundisho kwenu makasuku.