Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok

Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok

Unaonaje wewe ukaanzisha hiyo thread? Ili tuje kufanya analysis
Computer ya kwanza Toshiba kutengeneza wenyewe mwanzoni mwa miaka ya themanini ilitumia Processor ya Zilog80 ambayo ilitengezwa mwishoni mwa miaka ya 70 na kampuni ya Kimarekani iliyokuwa imeiga Intel 8080. Processors za i8008 ndizo zilikuwa processsor za kwanza kwanza kabisa kutumika kwenye electronic products. Toshiba walivyojaribu ku-catchup kwenye industry ya processor walitoa 12-bit processor ambayo ilitolewa mwaka 1973 ikiwa ni miaka miwili nyuma ya i8008 iliyokuwa imetolewa mwaka 1971 mbele yake; Hii TLCS-12 processor haikufanya vizuri kwenye soko na ikafifia ndani ya miaka miwili tu. Processor zote za TLCS zilzofuata zilikuwa ni clones za Zilog tu.

Processor pekee unayoweza kusema ilitoka Japan kipinndi hicho ni processors za dot-matrix display controller ambazo zilitolewa na Hitachi HD44780 na baadaye zikatumika pia kwenye dot-matrix printers; hizi zimeendelea kutawala soko hadi leo.
 
Computer ya kwanza Toshiba kutengeneza wenyewe mwanzoni mwa miaka ya themanini ilitumia Processor ya Zilog80 ambayo ilitengezwa mwishoni mwa miaka ya 70 na kampuni ya Kimarekani iliyokuwa imeiga Intel 8080. Processors za i8008 ndizo zilikuwa processsor za kwanza kwanza kabisa kutumika kwenye electronic products. Toshiba walivyojaribu ku-catchup kwenye industry ya processor walitoa 12-bit processor ambayo ilitolewa mwaka 1973 ikiwa ni miaka miwili nyuma ya i8008 iliyokuwa imetolewa mwaka 1971 mbele yake; Hii TLCS-12 processor haikufanya vizuri kwenye soko na ikafifia ndani ya miaka miwili tu. Processor zote za TLCS zilzofuata zilikuwa ni clones za Zilog tu.

Processor pekee unayoweza kusema ilitoka Japan kipinndi hicho ni processors za dot-matrix display controller ambazo zilitolewa na Hitachi HD44780 na baadaye zikatumika pia kwenye dot-matrix printers; hizi zimeendelea kutawala soko hadi leo.
Bado unahitaji kuongeza ujuzi mkuu.

Unajua kuwa miaka ya 1980 Japan ndio iliyokuwa kinara wa kutengeneza semiconductors duniani zenye ubora wa hali ya juu na kulitawala soko la dunia?

Hivi kwamba makampuni ya Marekani yalikuwa yanakaribia kufa?

Kasome hizi mbinu 4 makampuni ya kutengeneza semiconductors ya Marekani na serikali ya Marekani yalitumia kuiangusha Japan

●The adopting Japanese manufacturing approaches in semiconductor

●The dumping petition

●The rising value of the yen

●The lawsuit for intellectual property infringement

Ukitoka hapo ndio uje sasa tufanye discussion kwa kina
 
Ngoja china nao walipize kufungia mitandao ya wamarekani wao watapoteza idadi kubwa ya watumiaji.
Walipize kivipi tena na wakati Facebook, Whats app, Instagram, Google (Android), Snapchat na X zote zimefungiwa na serikali ya China??

Katika hili la kuifungia Tiktok Marekani ilichelewa..
 
Marekani wako sawa, mbona china imezuia Mitandao ya kimarekani, ila wao kupigwa ban ndio iwe nongwa…wafurumushwe tu, tena wamecheleweshwa.
 
Marekani wako sawa, mbona china imezuia Mitandao ya kimarekani, ila wao kupigwa ban ndio iwe nongwa…wafurumushwe tu, tena wamecheleweshwa.
China haijazuia mitandao ya Kimarekani ila mitandao ya Kimarekani haikukubali kufuata sheria za China wakajitoa kwa amani nchini China
 
Sio kutojiamini, wapo makini na nchi yao. Hawa jamaa huwa wanaona mbali sana, kuna namna tu hiyo kampuni ina vitu fulani, hawabahatishi hawa.

Kupuuzia puuzia mambo ni kitu hawafanyi hawa.
Ni ushindani wa kibiashara tu
Wameona YouTube imepigwa bao na TikTok
 
China ingekuwa inatawaliwa kidemocrasi leo ingekuwa na vurugu sana maana USA angehakikisha hakukaliki.
 
Kivipi tiktok yaweza kuingilia uchaguzi msaada mwenye uelewa
jaribu kumkosoa Rais wa China kule tiktok comment inafutwa chapu , kuna siasa ndan ya tiktok ,USA wana akili ila sisi tunasubir mpk tununaine na CHINA ndo tuanze kuona ubaya wa Tiktok
 
Marekani Lobbying ni jambo la kawaida kabisa Na businesses zinawapa mlungula hao wabunge kwahio usitegemee kitu ambacho kina effect / competitions kwa hizo businesses watakiachia kiendelee - Kwahio watatafuta kila njia kufanikisha hilo...
nenda tiktok kamkosoe rais wa china kwa english , km comment yako ikisurvive dk 2 njoo nkupe yako
 
Watanzania walifungiwa masaa 72 wakasema kulikuwa hakuna Free speech.

Kwamba mambo ya Wananchi yaamliwe na Wananchi

Nani amewaamulia Wananchi wa Marekani kama sio wanasiasa. Yaani watu karibia milioni mia mbili! Waamuliwe na watu wachache wenye madaraka.

Nadhani wanafanya haya mpaka pale Uchaguzi utakapoisha.? Republicans hatari sana, wanatumia njia zote kuzima sauti za wapinzani wao

Kwa mtazamo mwingine, huu ni Ujambazi. Kwamba ukiwa sio MMAREKANI na ukawa na kampuni au App inayoshindana na matajiri wa Kimarekani, unadondokewa kama mwewe(Eagle hapa) na genge la Serikali. Halafu tukisema tuna vita ya Kiuchumi watu wanatoa mapovu na kushupaza shingo, or Demokrasia, oh Free market. My foot. Kuna Free marke na uamuzi huo?

Aha, hoja yao ni Usalama wa raia na Taifa.

Yale masaa 72 nayo yalikuwa ni kwa Usalama wa Nchi, raia -Taifa..... Itoshe, makampuni au platforms zilizofungiwa(internet) zilikuwa ni za Wageni kama ilivyo tick toku ni ya wageni kwa Wamarekani.

Liwe fundisho kwenu makasuku.
ww kama umeridhia kuichagua ccmu kisa doti za kanga bas huo ujinga haupo USA , TIKTOK ni htr sio tu kwa Marekani bali hata kwa Afrika , sema watu weusi kichwan ni hamnazo
 
Sio kutojiamini, wapo makini na nchi yao. Hawa jamaa huwa wanaona mbali sana, kuna namna tu hiyo kampuni ina vitu fulani, hawabahatishi hawa.

Kupuuzia puuzia mambo ni kitu hawafanyi hawa.
mimi naunga mkono ban ya tiktok , watu hawaelew Tiktok ni false gun ya China kuichunguza dunia
 
Hizi Ban anazoziendekeza USA zitamtokea puani, watu watachoka ban zisizo na msingi kila siku
kama huna akili ya kukemea mkataba usio na kikomo cha muda bas huez waelewa wamarekan , tuliza kishundu , wamarekan sio watu wa mitandaoni kama huku Afrika
 
China inatumia fursa ya kupigwa BAN ngoja uone kama atakaa kimya lazima ije na kitu kipya kwa ajili ya kubust mambo yao
nyie misukule mpo busy kushabikia ila hamuangalii kwenu kama hiyo tiktok ina athari
 
chuki tu ya kiuchumi hawa marekani hawajawahi kusupport mafanikio ya yanayohusiana na china zaidi ya kuwaletea vikwazo kwa kila jambo.
akili zako kisoda , nenda tiktok hlf mtukane biden kisha comment nyngne mtukane Shin Jinping uone ipi itafutwa na ipi itaachwa , Tiktok ni ant america app , acha waamerika wajiimarishie usalama wao , Nyie gaweni nchi zenu si mmekosa akili
 
Back
Top Bottom